Njoo Ubungo darajani uchimbe dhahabu,shimo limetema

Njoo Ubungo darajani uchimbe dhahabu,shimo limetema

Jamani mkipata hiyo dhahabu, mnikumbuke Dada yenu

Utapokea hata hii?

heart-anklet_7-cute-ankle-bracelets.jpg

 
Hii kali...waliopata wameipatia njiani/maeneo ya wazi? Manake hofu yangu wasije wachimbaji wakawa wanazama kwenye misingi ya nyumba tukaleta kizaa zaa kingine....
 
Atakaechimba dhahabu bila kibali kutoka serikalin lazima apigwe na nasema atapigwa tuuu
 
waendesha bodaboda,wapiga debe,machingaz,wapita njia wamama,vijana hadi wazee wamejaa hapa ubungu darajani mandela road karibu na landmark hoter wako busy wanachimba dhahabu,nimeambia walianza tangu jana baada ya mtu moja kupata dhahabu.chanzo mimi.
Hilo eneo kama halina mwenyewe ngoja niwahi kituo cha uwekezaji ili nije niwekeze hapo, wachimbaji wadogo wadogo hamna chenu tena!
 
Kuna uwezekano ikawa ni kweli. Dhahabu kichele mara nyingi huchimbwa kwenye mifereji mikubwa ya maji. Hapo lazima damu imwagike kuwafukuza watu kazi ipo unless tutegemee uharibifu wa mazingira na miundombinu.
 
Kama ni kweli na hao wananchi wakiachwa hapo basi just in two days hakutakuwa na daraja.
 
Watu wanakamata fursa, dhahabu ndani ya ubungo.
Basi mliokuwepo hapo hata picha tuambulie.
 
Mpaka sasa tunasubiri taarifa ya mtu wa kuthibitisha zaidi ya mleta mada lakini bado, mleta mada ameambiwa akague supu yake.

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
  • Thanks
Reactions: Paw

Similar Discussions

Back
Top Bottom