sumbai
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 20,890
- 47,611
Hahahaaaa! Ukikubali kula nawe kubali kuliwa!
Atoto kuna vitu vinawekwa reserve..haviruhusiwi kuguswa na wengine..teh teh..
Kwingine kama unamchepuko bhasi huo tunashea.....
Ila usininukuu vibaya sina mchepuko