Nivumilie - Baraka da prince ft Ruby

Nivumilie - Baraka da prince ft Ruby

Hahahaaaa! Ukikubali kula nawe kubali kuliwa!

Atoto kuna vitu vinawekwa reserve..haviruhusiwi kuguswa na wengine..teh teh..

Kwingine kama unamchepuko bhasi huo tunashea.....

Ila usininukuu vibaya sina mchepuko
 
Teh teh kuna wanawake wanapenda, wanapenda for real..wapo tayari wafaight wapate chance na kukuchukua jumla..ila ni wachache sio wale wa team stress

Hapana aisee, nitafight kwayule niliyenaye sio kwa wa mtu mwingine!!
 
Atoto kuna vitu vinawekwa reserve..haviruhusiwi kuguswa na wengine..teh teh..

Kwingine kama unamchepuko bhasi huo tunashea.....

Ila usininukuu vibaya sina mchepuko

Hahahaaaa! Bwana shemeji wewe tena!!! We bingwa wa kushare aisee, mpaka ulimpiku bwana RRONDO, alibwaga manyanga mwenyewe, aminia, ila hiyo michepuko sasa!!!
 
Last edited by a moderator:
Hahahaaaa! Bwana shemeji wewe tena!!! We bingwa wa kushare aisee, mpaka ulimpiku bwana RRONDO, alibwaga manyanga mwenyewe, aminia, ila hiyo michepuko sasa!!!
proNDO atafute nayeye dhaifu ampiku alafu achukue nafasi....

Tangu niwe na huyu, michepuko imekaa mbali, maana balaa lake hapana.
 
Last edited by a moderator:
proNDO atafute nayeye dhaifu ampiku alafu achukue nafasi....

Tangu niwe na huyu, michepuko imekaa mbali, maana balaa lake hapana.

Mmmmh!! Bwana shem hata kama ipo utasemaaa!
 
Last edited by a moderator:
Katika kutimiza hizo haja za ngono mwakumbuka kinga? Au ndio ajali kazini?

Kinga inaweza kukumbukwa kutokana na umakini wa mtu na imani yake kwake. Wakati mwingine inaweza kutumika mwanzoni lakini baada ya mazoea na imani feki kujengeka ikaachwa na ikawa chanzo cha maabukizi ya magonjwa ya zinaa ikiwemo ukimwi
 
Kinga inaweza kukumbukwa kutokana na umakini wa mtu na imani yake kwake. Wakati mwingine inaweza kutumika mwanzoni lakini baada ya mazoea na imani feki kujengeka ikaachwa na ikawa chanzo cha maabukizi ya magonjwa ya zinaa ikiwemo ukimwi

Unaachaje kinga ilihali wajua kabisaaa uko kwenye chain?
 
Ndio hapo huwa najiuliza ni uhaba wa wanawake au? Hawa viumbe ni wengi kuliko sisi, bt still unakuta mwanamke mmoja anao wa4, duuuh sio chain hii!!
Wakati mwingine unakuta mwanamume kampenda bidada na anamhitaji kweli ila kutokana na historia wadada wengi hata akiwa single ukimtokea atakwambia nina mtu sijui wanapima juhudi za kulilia mzigo, unakuta na mwanaume wakati anafuatilia anajipa moyo "ndo zao kusema wanamtu", hapo ukute mwanadada pamoja na kwamba anasema ana mtu lakini anampa ushirikiano kwa mazungumzo mbalimbali na mwisho wanajikuta wanagegedana. Akishagegeda mwanaume anajua tayari ame-win lakini demu anasisitiza jamaa yangu yupo nje ya mkoa kimasomo au vyovyote vile na kwa kuwa mzigo umeliwa ndio hivyo tena jamaa linakuwa linajisevia na kuuzoea mzigo hasa kama jamaa katoswa hana pa kuondolea masiafu
 
Eti huruma!! Hiyo huruma utawaonea wangapi? Mie kama sikupendi it means hata hisia za kuduu sina kwako sasa naanzaje kukupa!! Nampa yule nimpendae na niliyenae, hao wengine nao wakatafute wengine mbona tupo wengi sana kuliko nyie!!

Tatizo atoto unajizungumzia wewe...kuna wenzako sex sio inshu kivileee...kutoa mchezo for fun for huruma...ha ha kawaida tuuu
 
Wakati mwingine unakuta mwanamume kampenda bidada na anamhitaji kweli ila kutokana na historia wadada wengi hata akiwa single ukimtokea atakwambia nina mtu sijui wanapima juhudi za kulilia mzigo, unakuta na mwanaume wakati anafuatilia anajipa moyo "ndo zao kusema wanamtu", hapo ukute mwanadada pamoja na kwamba anasema ana mtu lakini anampa ushirikiano kwa mazungumzo mbalimbali na mwisho wanajikuta wanagegedana. Akishagegeda mwanaume anajua tayari ame-win lakini demu anasisitiza jamaa yangu yupo nje ya mkoa kimasomo au vyovyote vile na kwa kuwa mzigo umeliwa ndio hivyo tena jamaa linakuwa linajisevia na kuuzoea mzigo hasa kama jamaa katoswa hana pa kuondolea masiafu


Oooh kwahiyo nawewe utakapomegewa utakuwa willing tu, si ulishakubaliana na hiyo hali since day one?
 
Tatizo atoto unajizungumzia wewe...kuna wenzako sex sio inshu kivileee...kutoa mchezo for fun for huruma...ha ha kawaida tuuu

Yaani kwa huruma tuuuu!! Weeeeh you cant be serios, ungesema kwa pesa au kwa mapenzi maybe, ila kwa hura nah!!
 
My kaka mito have seen you somewhere, hope yo guuuuuuud, miss you big time!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom