sumbai
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 20,890
- 47,611
Nimekumisimo! Vipi umemaliza kupika?
Hapana shem, nipo huki rock cty for while..mchana kutwa hamna umeme....
Umeona timu hisa vile wapo wengi...ila siyo kama ile ya rubby
Nimekumisimo! Vipi umemaliza kupika?
Sema "mpo" wengi, wekezeni tu, mie nitakusaidia kuvuna.
Teh teh teh teeeeh! Mie nakuangalia tu unavyoshadadia na ulikiri mwenyewe kuwa ndio zako.
"Hana""Ana" au "hana"??
Ndivyo Inavyokua Yaani!!Yeah hata mimi hilo nakubaliana nalo, huwezi mpenda mtu then ukakubali kushare.
Yeah hata mimi hilo nakubaliana nalo, huwezi mpenda mtu then ukakubali kushare.
Rejea sababu yako ya awali bwana shemeji, mbona zinakinzana?