sumbai
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 20,890
- 47,611
Huwezi kuvumilia kama huna pa kuponea..unaanzaje kuvumilia we umelala peke yako mwenzio anapata faraja kwingine? Mnaovumilia hayo hata motoni mtaweza kuishi..teh teh
Sio kwa wenye ndoa, haivumiliki mamii...
Ukipenda unavumilia, kuna wanawake ving'an'ganizi mnoo...anasema hata tuwe kumi, ila lazima uwe wangu