hewizet
JF-Expert Member
- Mar 17, 2013
- 2,494
- 1,632
Kisa na mkasaa!!!
nlimkuta na mtu wake so kakomaa tuendelee, na mi naona poa tu
Kisa na mkasaa!!!
Kirohoo saaafi kabisaaa....
Na ni sababu gani haswaa inayokupelekea ukubali kushare? Ni uhaba wa wanawake? Maana nijuavyo mimi wanawake ni wengi kuliko wanaume
Karibu tena, hope likizo was great.
Yes, kuna mazingira ambayo mwanaume hulazimika kushare mke:
1. kama ni mke wa mtu na wewe unamtaka, ni obvious utakuwa kwenye chain
2. kama ni girl friend wa mtu na wewe unamtaka, mara nyingi unakuta huna future naye, unapiga tu
kama mwanamke ndo kakupenda wakati unajua dhairi ana mtu wake, mara nyingi unakuta mke anampa jamaa material things kama hela, kazi, upendeleo wa aina fulani n.k. Mfano dereva anatembea na mke wa boss wake, shamba boy anatembea na mke wa boss wake n.k
3. kama hana uwezo wa kumiliki mke au girl friend. Mara nyingi anakosa uwezo wa kifedha kumtimizia mahitaji yake so anaamua kuwa marioo
4. kama mwanaume anaamini hawezi kupata mwingine kama huyo atakubali kufolenishwa
5. kama mwanaume anaamini hana uwezo wa kupata mwanamke mwingine, mfano coz he is too old, hana ushawishi, hana hela n.k
NB: by saying these am not saying am among those who can share a woman!!! hahaaa najihami kabisaaa
Afadhali umejitoa mapemaaa, maana nilikuandalia booonge la swali, hapo wivu na mapenzi yanakuwa hayahusiki eti?
Speaking out of experience eti!!
Yes, but not practical experience, rather experiencing other people's life
Hahaa nimekupiga chenga, najua unataka kunitaiti mahali
BTW msalimie cute b nimemuona mahali, kumbe ni mshabiki wa soka balaa, sikujua aisee!!!
nlimkuta na mtu wake so kakomaa tuendelee, na mi naona poa tu
Tena raha saana, alafu hamnaga stress kabisaa
Yes, kuna mazingira ambayo mwanaume hulazimika kushare mke:
1. kama ni mke wa mtu na wewe unamtaka, ni obvious utakuwa kwenye chain
2. kama ni girl friend wa mtu na wewe unamtaka, mara nyingi unakuta huna future naye, unapiga tu
3. kama mwanamke ndo kakupenda wakati unajua dhairi ana mtu wake, mara nyingi unakuta mke anampa jamaa material things kama hela, kazi, upendeleo wa aina fulani n.k. Mfano dereva anatembea na mke wa boss wake, shamba boy anatembea na mke wa boss wake n.k
4. kama hana uwezo wa kumiliki mke au girl friend. Mara nyingi anakosa uwezo wa kifedha kumtimizia mahitaji yake so anaamua kuwa marioo
5. kama mwanaume anaamini hawezi kupata mwingine kama huyo atakubali kufolenishwa
6. kama mwanaume anaamini hana uwezo wa kupata mwanamke mwingine, mfano coz he is too old, hana ushawishi, hana hela n.k
NB: by saying these am not saying am among those who can share a woman!!! hahaaa najihami kabisaaa
Tena raha saana, alafu hamnaga stress kabisaa
sumbai shem una shida gani kwani mpaka uombewe??Yaani shemeji unahitaji maombi, nitakukabidhi kwa wapendwa akina Paulo Sergio De Souz Kaboom na Heaven Sent wakuombee.