Nivumilie - Baraka da prince ft Ruby

Nivumilie - Baraka da prince ft Ruby

Dogo mbona muoga? We si ulishasema uko tayari kushare? Why uogope matokeo ya hiyo sharing, unapoamua kufanya maamuzi lazima uwe responsible na concequences za maamuzi yako, yawe mazuri au mabaya.
hayo yote nayatambua sana. sometimes una change mawazo baada ya kutafakari kwa kina.
unakuta mtu anataka kuforce kila kitu sio ishu
 
Pacha we unaweza? Kushare ilihali wajua kabisa unashare?

Kwa kweli siwezi..hata nikikupenda siwezi tu Ku handle that situation. Eti kwamba unaenda kwa fulan..au napiga unanikatia ndo upo na fulani..hapana.
 
Kwa kweli siwezi..hata nikikupenda siwezi tu Ku handle that situation. Eti kwamba unaenda kwa fulan..au napiga unanikatia ndo upo na fulani..hapana.

Labda kama upo kimaslahi kwakweli, ila kwa case ya love napinga kwakweli, hayo sio mapenzi ni uwendawazimu.
 
Labda kama upo kimaslahi kwakweli, ila kwa case ya love napinga kwakweli, hayo sio mapenzi ni uwendawazimu.

Hata kwa hela..siwezi hahaa. Ndio ujijue kabisa Leo nimekatiwa 150 na mwenzangu huenda atapewa 200 uwii roho inaweza kutoka.
 
Hata kwa hela..siwezi hahaa. Ndio ujijue kabisa Leo nimekatiwa 150 na mwenzangu huenda atapewa 200 uwii roho inaweza kutoka.

Money changes people ypu never know, ila daaah yataka moyo wa paka.
 
Kwa kweli siwezi..hata nikikupenda siwezi tu Ku handle that situation. Eti kwamba unaenda kwa fulan..au napiga unanikatia ndo upo na fulani..hapana.

Hujapenda wewe....hujapenda aliyekuwa occupied....nakuhurumia siku ukigundua mpo wawili...
 
Ni ujinga na kutojiamini,mwanaume gani usiyekuwa na wivu..eti unashea,kweli.... mi siwezi hata kwa dawa.Unashindwa kuwa na empaya yako,kinachoweza kukutokea ni kupigwa makofi na wanaume ambao unashea nao pale watakapogundua.
 
Labda kama upo kimaslahi kwakweli, ila kwa case ya love napinga kwakweli, hayo sio mapenzi ni uwendawazimu.
atoto mimi nakwambia wewe hujawah patwa na ule mzimu wa kupenda na kuapa liwalo na liwe..unakuta mtoto wa kike anakwambia hata kama unamwingine namimi nataka tuu unipe nafasi japo kidogo tuu....
Huyajui haya mambo atoto usiombe yakupatee
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom