mito
JF-Expert Member
- Jun 20, 2011
- 10,811
- 11,028
Anapanga hoja kama nani? Hebu acha kumtusi kaka yangu, au ndio mahaba!!
Umeona eeh, kuna watu wachokozi sista
Anapanga hoja kama nani? Hebu acha kumtusi kaka yangu, au ndio mahaba!!
Yaani shemeji unahitaji maombi, nitakukabidhi kwa wapendwa akina Paulo Sergio De Souz Kaboom na Heaven Sent wakuombee.
Yaani shemeji unahitaji maombi, nitakukabidhi kwa wapendwa akina Paulo Sergio De Souz Kaboom na Heaven Sent wakuombee.
A
shida itoke wapi? Tena...
Ukisema ukweli ? Kaka ila mimi sio member wa hizi club za hisa...
A
shida itoke wapi? Tena...
Ukisema ukweli ? Kaka ila mimi sio member wa hizi club za hisa...
Mi nimeitwa nikuombee..Nikasema nijue tatizo kwanza kabla ya kuangusha mapreyaz...kumbe uko sawa
Yaani unakana tena! Kweli wewe unahitaji maombi mazitooo
Hayuko sawa huyu, ni pepo hilo linaongea ili asifanyiwe maombi.
Ana pepo la kushare, yaani yeye bila kushare hajisikii raha.
Nashukuru swahiba kwa kunikumbukaa... huku nimemwacha atoto na mume wangu sumbai nisije nikabishana na baba watoto bure..Yes, but not practical experience, rather experiencing other people's life
Hahaa nimekupiga chenga, najua unataka kunitaiti mahali
BTW msalimie cute b nimemuona mahali, kumbe ni mshabiki wa soka balaa, sikujua aisee!!!