Nilikuwa nikisikiliza wimbo huu na nikajikuta najiuliza, "hivi kuna wanaume wanaokubali kushare mapenzi huku wakitambua kuwa wanashare"
Eti wanaume hii imekaaje? Maana mie kila mwanaume niliyewahi kuwa nae walikuwa wakiniambia "nikigundua unanisaliti ndio tiketi yako na nakuacha"
Na ni sababu gani haswaa inayokupelekea ukubali kushare? Ni uhaba wa wanawake? Maana nijuavyo mimi wanawake ni wengi kuliko wanaume.
Karibuni.
...myself i don't believe it,hamna kitu kama hicho kwa yeyote mwenye akili timamu,hizo ni tungo tu ila hazina uhalisia wowote..
Some time mbona wanaume wanakubali tuu kushare pale ambapo wao ndio wanavamia kambi ya mtuuu, sema ku realize au kukubali inakuwa vigumu as a men
Ila wimbo huu naupenda saana, saana...
Stil as a men ukincheat nakuacha...
Nashukuru mdogo wangu, kumbe upo aisee, miss you.
..mi hata sijawahi kuusikia wala kuuona,ndio naona hapa.!
So ukisalitiwa wewe hukubali, ila ukivamia kambi uko tayari kushare bila tatizo? Hivi tofauti hapo iko wapi? Na kwanini ukubali kushare?
We hujawahi kushare? Vipi can you share while knowing? And why?