Nivumilie - Baraka da prince ft Ruby

Nivumilie - Baraka da prince ft Ruby

Eeeh nilikubali kabisa.! Yaani sometime najiuliza nina upendo wa aina gani kwa huyu mwanamke. Kesho ntaiweka story yangu, naamini mtajifunza kitu.

Yaani still uko nae!! Daaah kuna watu mna mioyo!
 
Naona unaniongelea hapo. Nina kinyaa sana.
Na kushea ndo kitu cha mwisho kufanya duniani.

Mmmmh! Huwa mnasema hivi tu ila huko mnashare na mnajua kabisaaaa!
 
Sana ila sasa yule mwenye mali hapo bold panahusika kama akigundua kuna mtu anamgongea ila yule anaegonga wa mwenzake yaani yupo comfortable kabisa ila na yeye kama ana wa kwake hapo bold panahusika (kifupi ule msemo wa CHAKO CHANGU, CHANGU CHANGU unahusika zaidi hapa)

What goes around......
Na wako nae anagaragazwa hivyo hivyo,

ila hapo sasa raha yake nini jamani, unakuwa na mtu mwenye mwanaume mwingine wakati una wako!! Ili iweje? Tamaa ya ngono? Si una wako?
 
cute b hivi huyu mtu alifanya mapinduzi? Maana najua wewe haujawahi kuwa single tokea uanze hili balaa.

Teh teh...
Shemeji unataka ugundue nini labda?
 
Last edited by a moderator:
Kuna wanaume wengine wanafanya hivyo
Binafsi ishawahi nitokea
Kuna mkaka moja alinitongoza nikamjibu tayar im already taken but jamaa king'ang'anizi ruba weka pembeni
Yaani eti yuko radhi kushare ili tu niwe nae

Ndio hapo huwa najiuliza ni uhaba wa wanawake au? Hawa viumbe ni wengi kuliko sisi, bt still unakuta mwanamke mmoja anao wa4, duuuh sio chain hii!!
 
Tatizo lipo wapi? Kwani

Bwana shemeji tatizo wewe bahiri, kwahiyo cute b akizisaka we unatulia tu ukisubiri azilete!! Ndio maana unaona normal, hapo hakuna mapenzi aisee, kama unampenda mtu huwezi ruhusu awe na mtu mwingine kwa sababu yoyote ile, mayb uwe ha.ni.thi hivyo unataka uonekane nawe unamiliki kitu!
 
Last edited by a moderator:
Ila ukiwakuta wanavyojitapa kuwa hawawezi kushare, kumbe wanashare na wanajua kabisaaa kuwa wanashare na wameridhika.

Mkuu
Naungana Nawe Watu Wanaweza Sana Wake Kwa Waume, Angalia Mtu Anakwenda Kumtongoza Mke / Mume Wa Mtu Mwingine Akijua Wazi Mmiliki Yupo.


Hata Wasio Oa/Kuelewa Ni Hivyo Hivyo Hiyari Yashinda Utumwa, Kizuri Kula Na Ndugu Yako
Tena Wengine Wanajua Kabisa Na Mambo Yanakwenda Tu
 
Mkuu
Naungana Nawe Watu Wanaweza Sana Wake Kwa Waume, Angalia Mtu Anakwenda Kumtongoza Mke / Mume Wa Mtu Mwingine Akijua Wazi Mmiliki Yupo.


Hata Wasio Oa/Kuelewa Ni Hivyo Hivyo Hiyari Yashinda Utumwa, Kizuri Kula Na Ndugu Yako
Tena Wengine Wanajua Kabisa Na Mambo Yanakwenda Tu

Daaaah!! Mie i cant jamani nina roho nyepesi sana!! Bora nisijue ila kujua kabisaaa na bado nimo tu! NOOOO

Hiyo kauli ya kizuri sijui kula na nani utaiongea tu kama unaiba mali ya mtu huwezi itumia kwa mali yako aisee!! Na kwanini uibe?
 
Teh...
Ndio maisha, hujamuoa..
Kwa hiyo any thing can happen

Nilisema utabinafsishwa sio utabinafsishiwa!! Kuna tofauti hapo, we kula vya watu tu, siku vikikugeuka mie nitakucheka tu.
 
We kuna watu ka kina nuhu mziwanda na moze iyobo wanajitolea ahh mbona wako weng tu..
 
Some time mbona wanaume wanakubali tuu kushare pale ambapo wao ndio wanavamia kambi ya mtuuu, sema ku realize au kukubali inakuwa vigumu as a men

Ila wimbo huu naupenda saana, saana...

Stil as a men ukincheat nakuacha...

Love sina huo wimbo nauomba
 
Back
Top Bottom