Mkuu angelita mwenye tatizo hapo utakuwa ni wewe. Kwanza huenda wewe mwenyewe huna ubavu wa kumuacha! Lkn nnachotaka kukushauri hapa,we endelea nae wala usiwe na hofu,we ukipata wa kukuoa na yeye mwambie umepata na hata baada ya ndoa mnaweza kuendelea tu.
Mapenzi hayana formula,ukiolewa hujui nini kitatokea kwa mumeo,hapa ndo kwenye faraja yako usithubutu kumwaga mtu ambae umemzoea! Mnaweza kupunguza tu muda wa kukutana lkn si kuachana!
Hayo yote nimefanya, nilikata mawasiliano kabisa Jamaa aninifata hadi kazini nyumbani, kifupi yamenifika shingoni navozidi kuwa mkali ndio Kama nampa nguvu mpya.
NO MAN WILL LEAVE HIS WIFE FOR A MISTRESS weka hilo akilini
Nimejaribu njia zote zimegonga mwamba, imefika kipindi namtishia ntamwambia huyo mkewe na picha kumtumia wapi, nia yangu sio kumbomoa ni kumjenga binafsi simuitaji.
Wanawake bwana....hivi hamjui jinsi wanaume tunavyo-pretend? wewe yaelekea hujui mapenzi vizuri....na tatizo ni kuwa ulishamvulia nguo lakini usingemvulia nguo pengine angekuoa wewe na kumuacha huyo wake, ila ile hamu na shauku ya kuishi na wewe ndo hakuwa nayo lakini shauku ya kuendelea kukugegeda ndiyo anayo...na lengo lake sasa ni kukupa ujauzito...believe in me, utakuja kutuambia hapa..........leo ni tarehe 20/03/2015
You are damn right! I wish people could understand you Lara1. Umevaa kiatu cha mwanaume sawia hongeraBoth!
He could be telling the truth. Cut the dude some slack, People get engaged for a lot of reasons love being amomng but not limited to those reasons. Besides maybe our Angie is more beautiful than the fiancee (For the record i know both parties involved and fact is Angie is more cuter and younger, the other is old as shit, ugly, mean and filthy rich.)
He couldnt marry he because IT WAS TOO LATE not to mention little Angie here is a MINOR. But that doesnt mean the guy didnt love her. He did. Atleast i like to tell my self that (we go back to the lies we tell our selves! LOL!) He chose to SETTLE with that fat rich loser! He is too damn scared of life so he decided to marry his ass off to a rich snob from abroad and it broke Angies heart. So his heart is with Angie but life creeps the hell out of him. I guess he was trapped.
Angie is not a fool, whatever she lacks in age she compensates in character. To prove she is not a fool SHE HAS TO GET HIM BACK! (That is not all kabla hamjavimba!) MAKE HIM AND THAT LOSER WIFE OF HIS PAY FOR WHAT THEY DID TO HER! He took advantage of her, he figured out she is young easy to prey, why not? And why not will cost him dearly, and since he has showed weakness Angie is going to use that weakness to make them ALL pay. Consider it tying loose ends!
angelita huo udhaifu wake ndo uutumie TO GET EVEN! Not revange just EVEN! Dont be a coward and forgive nor forget shit.
Na kuna uwezekano wa kumpata asiyemdanganya....????Uamuzi ni wako, umuache au uendelee nae...
Lakini ujue kuwa ANAKUDANGANYA!!
Wanaume wengi ndivyo tulivyo....
Mwaka na miezi kazaa tangu nimjue sasa, nakumbuka kuna tatizo lilitokea ikabidi nimuone yeye ofisini kwao, ndo ukawa mwanzo wa penzi letu kuchipua.
Aliniweka wazi kwamba ana mchumba, ila yuko nje ya mji haikuwa shida sababu nilikuwa na stress zangu za mapenzi niliona nimepata pakuzitolea labda nitamsahau yule aliyekuwa mpenzi wangu, kwa takribani miaka minne sasa nitamsahau na kupata pakuanzia.
Ingawa sikuwa single kwa wakati huo, kuna mtu ambaye nilikuwa naye kwa muda mrefu, alinizidi umri sana na ni mume wa mtu, nilihitaji mtu wakuwa naye huru na kwakuwa huyu mchumba wake alikuwa mbali na mie moyo wa kupenda ulikufa sikuona shida kusogeza muda naye.
Kadiri siku zilivyosonga niliona mwenzangu anazidi kukolea, ikabidi nikate mawasiliano, mana ilifika kipindi anajutia kuwa kwenye commitment.Ni mwezi sasa na siku kazaa tangu aoe, bado ananiganda anataka tuendelee na mahusiano, binafsi siko tayari kuendelea naye nishatumia njia zote kumkatisha tamaa bado kang'ang'ana.
Tafadhari wale wakurusha mawe pita mbali, hapa ni ushauri jinsi ya kunusuru ndoa ya watu idumu tu.