Niusaidiaje mchepuko utulie na mkewe?

angelita

JF-Expert Member
Jun 13, 2013
3,017
2,424
Mwaka na miezi kazaa tangu nimjue sasa, nakumbuka kuna tatizo lilitokea ikabidi nimuone yeye ofisini kwao, ndo ukawa mwanzo wa penzi letu kuchipua.

Aliniweka wazi kwamba ana mchumba, ila yuko nje ya mji haikuwa shida sababu nilikuwa na stress zangu za mapenzi niliona nimepata pakuzitolea labda nitamsahau yule aliyekuwa mpenzi wangu, kwa takribani miaka minne sasa nitamsahau na kupata pakuanzia.

Ingawa sikuwa single kwa wakati huo, kuna mtu ambaye nilikuwa naye kwa muda mrefu, alinizidi umri sana na ni mume wa mtu, nilihitaji mtu wakuwa naye huru na kwakuwa huyu mchumba wake alikuwa mbali na mie moyo wa kupenda ulikufa sikuona shida kusogeza muda naye.

Kadiri siku zilivyosonga niliona mwenzangu anazidi kukolea, ikabidi nikate mawasiliano, mana ilifika kipindi anajutia kuwa kwenye commitment.Ni mwezi sasa na siku kazaa tangu aoe, bado ananiganda anataka tuendelee na mahusiano, binafsi siko tayari kuendelea naye nishatumia njia zote kumkatisha tamaa bado kang'ang'ana.

Tafadhari wale wakurusha mawe pita mbali, hapa ni ushauri jinsi ya kunusuru ndoa ya watu idumu tu.
 
Wewe unahitaji maombi
ni kama wewe ndo ambae hujiwezi kwake
unausemea moyo wa mwenzio huku wa kwako uko hoi pia juu yake

Sikatai chembe chembe zakumpenda zilianza ndio sababu kuu ya kukata mawasiliano, niliogopa kuzama pasipo na future, mwenzangu naye yu taabani na sasa yupo ndoani nafanyaje kunusuru ndoa yake????
 
kwani na we ushajicommit kwa mtu mwingine!?? kama bado endelea nae tu, ndoa haijambadilisha kitu.... siku ukimpata wako badilisha dials na njia kabisa

Sitaki kuendelea naye, mategemeo yangu hayakutimia yamekuwa kinyume.
 
Mmmmmmmmmmmmmhhhhhhhhhhh! Woooo! Woooo! Wooooooooo! Shouldnt you be slowing down a bit?????????? You are not even 23 for crying out loud. Call me OLD SCHOOL but this is serious.

ON SECOND THOUGHTS

IF A MAN HAS 2 WOMEN, THEN HE HAS TO CHOOSE ONE HE SHOULD CHOOSE THE SECOND, BECAUSE IF HE REALLY LOVED THE FIRST HE WOULDN'T GET INVOLVED WITH THE SECOND. - Johnny Deep.

Sikiliza wewe Angelita mume wa mtu ukimpata jivinjari, hana mpango na wewe jivinjariii, anakudanganya wewe jivinjariiiiiiiii. KAMA MUME WA MTU SUMU MBONA PANYA HAIUI?
 
Sikatai chembe chembe zakumpenda zilianza ndio sababu kuu ya kukata mawasiliano, niliogopa kuzama pasipo na future, mwenzangu naye yu taabani na sasa yupo ndoani nafanyaje kunusuru ndoa yake????
Hahahahah angelita wewe ni mtoto?!

Usijidanganywe mwaya, huyo jamaa is just taking advantage of you. Hakuna cha kuwa taaban wala nini. I mean think about it, mmekutana akiwa na mchumba, mkawa pamoja na akakolea kweli kweli lakini recently ameamua kumuoa huyo aliyekuwa anajuta kuna na commitment nae?! We unaona nini hapo?!

Kama angekuwa hoi,taaban or whatever he tells you aingemuoa huyo aliyemuoa bali angekuoa wewe. Sababu ya kumuoa aliyemuoa ni kwamba ANAOGOPA KUMPOTEZA ila wewe hana wasiwasi na wewe hata kidogo. Na ndio maana wewe unajua kuhusu mwenzio na anakutumia apendavyo bila kuwa na future na wewe wakati mwenzio ana-treat-iwa delicately.

Fungua macho uone kisha utafute maisha yako mwenyewe. Huyo mwanaume anakuona wewe ni ----- na anajua huna ujanja juu yake. Wewe ndo uko taaban, amka mama utafute na wewe wa kukufia mpaka atake kuji-commit kwako na sio kwa mwenzio.
 
Last edited by a moderator:
Mmmmmmmmmmmmmhhhhhhhhhhh! Woooo! Woooo! Wooooooooo! Shouldnt you be slowing down a bit?????????? You are not even 23 for crying out loud. Call me OLD SCHOOL but this is serious.

ON SECOND THOUGHTS

IF A MAN HAS 2 WOMEN, THEN HE HAS TO CHOOSE ONE HE SHOULD CHOOSE THE SECOND, BECAUSE IF HE REALLY LOVED THE FIRST HE WOULDN'T GET INVOLVED WITH THE SECOND. - Johnny Deep.

Sikiliza wewe Angelita mume wa mtu ukimpata jivinjari, hana mpango na wewe jivinjariii, anakudanganya wewe jivinjariiiiiiiii. KAMA MUME WA MTU SUMU MBONA PANYA HAIUI?

Loooohl lara 1 kwaiyo niwe nao wawili???? Naitaji single mwenzangu nami nifurahie maisha.
 
Last edited by a moderator:
Loooohl lara 1 kwaiyo niwe nao wawili???? Naitaji single mwenzangu nami nifurahie maisha.

Hahahahaaaaaaaaaa! Come on dont be so dramatic! THE SKY IS BIG ENOUGH TO ACCOMODATE BOTH!:lol:

Really single usually is UNSATISFACTORY! THERE IS NO SINGLE MAN WITH ALL THE QUALITIES SO TUNAKUJA KWENYE MORE IS PREFERRED TO LESS, Kitu ya mafiga matatu but you will keep it minimum at 2 for you age. THE MANY THE MERRIER, ONE GOES AWAY YOUR A.SS IS STILL COVERED.

Or be a sister Maria and live a MYTH.
 
Hahahahah angelita wewe ni mtoto?!

Usijidanganywe mwaya, huyo jamaa is just taking advantage of you. Hakuna cha kuwa taaban wala nini. I mean think about it, mmekutana akiwa na mchumba, mkawa pamoja na akakolea kweli kweli lakini recently ameamua kumuoa huyo aliyekuwa anajuta kuna na commitment nae?! We unaona nini hapo?!

Kama angekuwa hoi,taaban or whatever he tells you aingemuoa huyo aliyemuoa bali angekuoa wewe. Sababu ya kumuoa aliyemuoa ni kwamba ANAOGOPA KUMPOTEZA ila wewe hana wasiwasi na wewe hata kidogo. Na ndio maana wewe unajua kuhusu mwenzio na anakutumia apendavyo bila kuwa na future na wewe wakati mwenzio ana-treat-iwa delicately.

Fungua macho uone kisha utafute maisha yako mwenyewe. Huyo mwanaume anakuona wewe ni ----- na anajua huna ujanja juu yake. Wewe ndo uko taaban, amka mama utafute na wewe wa kukufia mpaka atake kuji-commit kwako na sio kwa mwenzio.

Hahahahahaaaaaaaaaaaaa! PLEASEEEEEEEEEEEEEEEEEE!!!!!!!!!!!!!!!! The worst thing that can happen to any person is believing their own lies!!!!!!!!!
 
Hahahahahaaaaaaaaaaaaa! PLEASEEEEEEEEEEEEEEEEEE!!!!!!!!!!!!!!!! The worst thing that can happen to any person is believing their own lies!!!!!!!!!
Hmmmm lara1 ....whose lies are we talking about now?!Mine,his or hers?!
 
Last edited by a moderator:
Hmmmm lara1 ....whose lies are we talking about now?!Mine,his or hers?!

Both!

He could be telling the truth. Cut the dude some slack, People get engaged for a lot of reasons love being amomng but not limited to those reasons. Besides maybe our Angie is more beautiful than the fiancee (For the record i know both parties involved and fact is Angie is more cuter and younger, the other is old as shit, ugly, mean and filthy rich.)

He couldnt marry he because IT WAS TOO LATE not to mention little Angie here is a MINOR. But that doesnt mean the guy didnt love her. He did. Atleast i like to tell my self that (we go back to the lies we tell our selves! LOL!) He chose to SETTLE with that fat rich loser! He is too damn scared of life so he decided to marry his ass off to a rich snob from abroad and it broke Angies heart. So his heart is with Angie but life creeps the hell out of him. I guess he was trapped.

Angie is not a fool, whatever she lacks in age she compensates in character. To prove she is not a fool SHE HAS TO GET HIM BACK! (That is not all kabla hamjavimba!) MAKE HIM AND THAT LOSER WIFE OF HIS PAY FOR WHAT THEY DID TO HER! He took advantage of her, he figured out she is young easy to prey, why not? And why not will cost him dearly, and since he has showed weakness Angie is going to use that weakness to make them ALL pay. Consider it tying loose ends!
angelita huo udhaifu wake ndo uutumie TO GET EVEN! Not revange just EVEN! Dont be a coward and forgive nor forget shit.
 
Back
Top Bottom