Niusaidiaje mchepuko utulie na mkewe?

Niusaidiaje mchepuko utulie na mkewe?

Miezi 5 tangu nianze kufanya hivyo, Mimi nimzuri kwenye kukatisha tamaa ila hapa nimetumia njia zote zimegoma, wasiwasi wangu kuharibu huku nilikoanza kutengeneza.

duuhh
huyo mtihani
 
Si alikuwa TAABANI KIUCHUMI! breaking up with millions needs balls! And he had none! Angempenda mkewe angetulia sio kubembeleza chiu masaa ishirini na nne kama chiu wa mkewe una funye funye vile! Hahahahahaaaa! Lets be honest MKE KAPATA HASARAAAAA. mKE ANA CHIU AFU MUME ANAENDA KUPIGIA MAGOTI CHIU NJE! Wallah naenda kuoga maji ya bahari, tena kwa kuyapigia mbizi niondoe gundu.:lol:

huu ndo ukweli wenyewe
ukute kuna presha za wazazi na ndo walimtaka huyi bi ndoa
wanawake tujifunze kutokulazimisha ndoa ili uonekane wewe ndo bingwa
unawezw jikuta umeolewa pete na
starehe zote mchepu
 
Nimejaribu kudodosa kupata mengi unavoreply watu nimegundua huyo mwanaume hana msimamo japo inawezekana kweli anakupenda. Ila inavoelekea ambavo hana msimamo ukiendelea nae madhara ni makubwa anaweza kuja kumfanyia kituko mke wake, so kama hutaki kuvunja ndoa ya mtu tumia njia yoyote kukaa mbali nae.

Kuna watu kwao wakipenda ni machizi akili zinakwisha na perhaps he is among them
 
Aisee kweli kuna wadada mnafanya haya madudu kabisa, basi endelea nae tu sasa kama alikueleza ana mchumba na ukaamua kuumpa mavitu ina maana uliamua kumnogesha ili uolewe wewe haya ndo uendelee nae, pia subiri na wewe siku utakapofanyiwa kama hivyo, bila kujali itakua mara ya ngapi kufanyiwa.

mafanikio mema, sikushauri uombe tena ushauri hapa.
 
Sio wewa utakae haribu bali yeye ndo ana haribu coz anajua anamke why akufate fate?
Chakufanya akija job kwako mchunie fanya kama humui na ikiwezekana kama kunawalinzi waite wamtimulie mbali na pia the same akikupigia simu usipokee calls zake wala kujibu text zake kaa kimya, na akija home hakuna kumfungulia.

Ukisema eti unamwongelesha unafoka ndo unazidi kumpa nguvu yakuzidi kukufatilia. Kaa kimya tuone kama atakufatilia yaani unamlia ganzi mpaka ataacha mwenyewe watu kama hawa ndomana wanarekodiwa na kuwekwa kwenye mitando agaaah, kila siku kibonde anasema watu hawaelewi keleuuuu.
QUOTE=angelita;12204195]Miezi 5 tangu nianze kufanya hivyo, Mimi nimzuri kwenye kukatisha tamaa ila hapa nimetumia njia zote zimegoma, wasiwasi wangu kuharibu huku nilikoanza kutengeneza.[/QUOTE]
 
Aisee kweli kuna wadada mnafanya haya madudu kabisa, basi endelea nae tu sasa kama alikueleza ana mchumba na ukaamua kuumpa mavitu ina maana uliamua kumnogesha ili uolewe wewe haya ndo uendelee nae, pia subiri na wewe siku utakapofanyiwa kama hivyo, bila kujali itakua mara ya ngapi kufanyiwa.

mafanikio mema, sikushauri uombe tena ushauri hapa.

Ndio nyinyi mnafeli mtihani kwa genye zenu zakuharakia kujibu bila kusoma vizuri.

Soma bandiko vizuri uelewe, aliyekwambia nilitaka anioe nani, huna ushauri pita mbali nilishatoa onyo mwisho wa bandiko.
 
Hahahahah angelita wewe ni mtoto?!

Usijidanganywe mwaya, huyo jamaa is just taking advantage of you. Hakuna cha kuwa taaban wala nini. I mean think about it, mmekutana akiwa na mchumba, mkawa pamoja na akakolea kweli kweli lakini recently ameamua kumuoa huyo aliyekuwa anajuta kuna na commitment nae?! We unaona nini hapo?!

Kama angekuwa hoi,taaban or whatever he tells you aingemuoa huyo aliyemuoa bali angekuoa wewe. Sababu ya kumuoa aliyemuoa ni kwamba ANAOGOPA KUMPOTEZA ila wewe hana wasiwasi na wewe hata kidogo. Na ndio maana wewe unajua kuhusu mwenzio na anakutumia apendavyo bila kuwa na future na wewe wakati mwenzio ana-treat-iwa delicately.

Fungua macho uone kisha utafute maisha yako mwenyewe. Huyo mwanaume anakuona wewe ni ----- na anajua huna ujanja juu yake. Wewe ndo uko taaban, amka mama utafute na wewe wa kukufia mpaka atake kuji-commit kwako na sio kwa mwenzio.

I like your comments....
 
Nimejaribu njia zote zimegonga mwamba, imefika kipindi namtishia ntamwambia huyo mkewe na picha kumtumia wapi, nia yangu sio kumbomoa ni kumjenga binafsi simuitaji.

Kweli yamekufika shingoni. Huyo inabidi umkazie huyo. Inaonekana wewe huyo mtu anakujua saaana na anajua lipi unaweza kufanya na lipi huwezi. Hapa huwez pata msaada unaotegemea.
 
Ndio nyinyi mnafeli mtihani kwa genye zenu zakuharakia kujibu bila kusoma vizuri.

Soma bandiko vizuri uelewe, aliyekwambia nilitaka anioe nani, huna ushauri pita mbali nilishatoa onyo mwisho wa bandiko.

Ulimpa mavitu ili iweje na ulijua ana demu wake, ndo uendelee kumpa sasa
 
Wanawake bwana....hivi hamjui jinsi wanaume tunavyo-pretend? wewe yaelekea hujui mapenzi vizuri....na tatizo ni kuwa ulishamvulia nguo lakini usingemvulia nguo pengine angekuoa wewe na kumuacha huyo wake, ila ile hamu na shauku ya kuishi na wewe ndo hakuwa nayo lakini shauku ya kuendelea kukugegeda ndiyo anayo...na lengo lake sasa ni kukupa ujauzito...believe in me, utakuja kutuambia hapa..........leo ni tarehe 20/03/2015
 
Hadi nimekuja hapa ujue yamenishinda, nimetumia mbinu zote mwisho wa siku naona ntaumia Mimi nakupoteza nilichonacho.

Basi it seems mlikosea tangu mwanzo, mkashindwa kufuata makubaliano yenu mkajisahau kuwa eventually mtapart ways. Kama wewe hukujisahau, basi yeye alifanya hivo.

Kinachomfanya asiamini kuwa unataka kusitisha uhusiano ni fact kwamba wanaume tunaamini women dont really mean what they say especially about break ups, and with a little persistence, they give in. And this is true to some extent.

Kilichobaki ni kufuata plan B. Its time for you to take the reins and lead the game. Show that you mean it. Usimpige mikwara isiyo na substance, mfano, kama unamtishia kuwa utamwambia mkewe, mwonyeshe kuwa una some sort of connection na mkewe...mfano mna chat whatsapp, na kwamba kuna viashiria kuwa mkewe anaanza kukuhofia. Lazima abane makende kwanza since inaonekana anamwogopa mkewe.

But be careful and dont overexploit the situation. It could backfire.
 
Well ana weza kuusaidia mchepuko utulie tuliiiiiiiiiiiiiii kama majiya mtungi. And i was thinking of EXTORTION and BLACK MAIL, he will be too broke and afraid to sleep arround. It is bloody difficult but it can be done!
lara 1 dont you think that will be going a little overboard? If I figure you correctly naamini you are thinking of more than one gain in this scheme.

Even though, honestly, point ilikofika ni kuwa a little bit of blackmail lazima itahusika. Ila iishie hapo. A little bit. Overplaying it would backfire, and her intentions would be ruined.
 
Last edited by a moderator:
Ziko njia nyingi unazoweza kufanya, pomoja na kukata mawasiliano kama bado haisaidii unaweza kumshitakia kwa mkewe inaweza kusaidia pia.
Lakini iko njia ambayo inaweza kukusaidia nayo ni ya kurudia Mungu nae atakusaidia,jua wazi njia zako kwa jinsi ulivyoeleza umeshahitilafiana na Mungu na kwa namna hio hataacha kukuandama na hata kama sio huyo watakuja wengine watakudanganya danganya,watakuchezea na zaidi ya yote watakupotezea muda mwingi ukuja kushtuka jua limekuchwa na kuona Mungu amekusahau! Kumbe ni wewe ulie muacha na kuwasikiliza waume ambao hawakutakii mema. Kwa kifupi awe huyo au mwengine yoyote yule asikudanganye kwa lolote miss, ubarikiwe.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom