Niusaidiaje mchepuko utulie na mkewe?

Niusaidiaje mchepuko utulie na mkewe?

Ningekuwa sina mtu isingekuwa shida, kuondoka kagoma namtishia kumlipua kwa mkewe wala hatishiki ila akinilipua mm ndo basi nawaza kujilipua kabla hajanilipua ila sijui Kama ntaeleweka, yamenifika haswa.

noooo usijilipue kwa mtu wako shostii
huyo ashavurugwa anataka akuharibie tu
onyesha msimamo thabiti
SIKUTAKI SIKUTAKI LEA MKEO
asije kukuharibia michongo yako
 
huyo ana mapepo ye kwa nini kaoa sasa?
hebu aende zake huko
nilikua kwenye situation km yako miaka iliyopita
mpk leo regadless nna familia yule mtu anafatafata
akiskia niko home ananitafuta ili ajue km nimetengana turudiane
off course nilipata shida mwanzo kumuacha sana tu imagine nlikua na mimba yake ila mwenzangu akaniwahi na ukabila ukaingia kati kati na yule mshkaji ni celebrity kidizaini hapa bongo
mwenzangu akamchimba biti ntakuuza kwa shigongo
alioa bila sherehe wala tarumbetaa
ananipenda mpk leo ananihudumia sana tu
ashaniambiaga tutoroke bongo tukaishi ht kenya au south but i refused mana namheshimu sana huyu aliyenifuta chozi

Nipe insider story huyo celebrity Bongo hii ni nani? Japo kwa PM maana nitaugua utapia ubuyu mie.:lol:
 
Hapa utapew ushaur wa kila aina,,,mzur na mbaya,.
Maamuz bado yanabak kwako kwamb umuache au uendelee nae,,
hakun anayejua wapat nn kwake au wampenda/anakupenda kiac gan,,,
Fikiria na fanya maamuz xahihi ambayo hutayajutia baadae angelita
 
Last edited by a moderator:
acha kujidanganya. uchumba ni rahis kuvunjika kuliko ndoa. angekuwa taaban asingeoa. ila anampenda mkewe na keshajua ww ni mteremko tu......w kupumnzikia. wake up girl....

Kumpenda mtu nipamoja na kumheshimu, angempenda angemheshimu asingeniganda wala nisingelazwa kwenye kitanda anacholala na mkewe na nisingekuwa wa kwanza kuzindua Nyumba anayoishi sasa kabla ya muhusika.

Kupenda nizaidi ya ufikiriavyo ila sio lililonileta hapa, sijivunii naumia nataka niutue mzigo nilioubeba mwenyewe bila kudhurika.
 
It begins with you....

Sidhani kama unaweza kuusaidia mchepuko utulie kwenye ndoa yake. Na hilo halikuhusu. Ila, ninaamini unaweza kusitisha mahusiano yako naye in the blink of an eye!! I really thought women are good at this kind of shit.

Its either huna msimamo thabiti au msimamo wako unayumbishwa na hisia za kimapenzi...typical of women.

Katika hali kama hii...tumia kichwa na logic tu!

Well ana weza kuusaidia mchepuko utulie tuliiiiiiiiiiiiiii kama majiya mtungi. And i was thinking of EXTORTION and BLACK MAIL, he will be too broke and afraid to sleep arround. It is bloody difficult but it can be done!
 
Sikatai chembe chembe zakumpenda zilianza ndio sababu kuu ya kukata mawasiliano, niliogopa kuzama pasipo na future, mwenzangu naye yu taabani na sasa yupo ndoani nafanyaje kunusuru ndoa yake????

Unabusara na jicho la kuona kesho, wapumbavu hupofushwa na raha ya kitambo na hawajui kesho yake huachwa
 
noooo usijilipue kwa mtu wako shostii
huyo ashavurugwa anataka akuharibie tu
onyesha msimamo thabiti
SIKUTAKI SIKUTAKI LEA MKEO
asije kukuharibia michongo yako

Nimebanwa nakosa pa kupumulia, kabla hayajamfikia bora nifikishe mwenyewe.
 
angelita, mi nafikiri kwanza mfahamishe mwenzio uliye naye kuwa nilikuwa na mtu ila baadaya kuachana amekuwa akinisumbua, ili siku akimkuta ajue kuwa yule king'ang'anizi ndio huyo. otherwisw ipo siku watakutana na utamwaga mboga na ugali
 
Last edited by a moderator:
Hapa utapew ushaur wa kila aina,,,mzur na mbaya,.
Maamuz bado yanabak kwako kwamb umuache au uendelee nae,,
hakun anayejua wapat nn kwake au wampenda/anakupenda kiac gan,,,
Fikiria na fanya maamuz xahihi ambayo hutayajutia baadae angelita

Palipo wengi busara uwepo pia, ntachekecha pumba ntatoa mchele ntauchukua ahsante.
 
Last edited by a moderator:
sioni sababu yoyote ya kumuacha sema tu wewe mwenyewe inaoneka ndo tabia yako ya kutaka kuonja mikuki ya wanaume,, embu jiulize utamuacha huyo utaenda kwa mwingine tena hivo hivo mwisho wa siku utakuwa kanda mbili zilizochoka na hapo sijui utaolewa na nani ss...ww jitie kiburi tu unafikiri siku zote utakuwa hivo????? tambua nyie wadada huwa mnachoka sana.
 
angelita, mi nafikiri kwanza mfahamishe mwenzio uliye naye kuwa nilikuwa na mtu ila baadaya kuachana amekuwa akinisumbua, ili siku akimkuta ajue kuwa yule king'ang'anizi ndio huyo. otherwisw ipo siku watakutana na utamwaga mboga na ugali

Nafikiria Sana kufanya hili mana navyoona muda si mrefu yatamfikia, tatizo atanielewa au ndio ntampoteza.
 
Last edited by a moderator:
Kumpenda mtu nipamoja na kumheshimu, angempenda angemheshimu asingeniganda wala nisingelazwa kwenye kitanda anacholala na mkewe na nisingekuwa wa kwanza kuzindua Nyumba anayoishi sasa kabla ya muhusika.

Kupenda nizaidi ya ufikiriavyo ila sio lililonileta hapa, sijivunii naumia nataka niutue mzigo nilioubeba mwenyewe bila kudhurika.

Ouuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuccccchhhhhhhhhhhhhhhhh! That son o a bi.tch is really something! Dont tell me ile nyumba ndo kahamia na mkewe? Mazafantaaaaaaaa! Sweet honey dear kazi anayo.

Fact is yule bwelegeje anakupenda leo kesho, kesho kutwa, people here are just being mean and judgy.

Simple test ya upendo ni

MTU HAWEZI KUUACHA CHIU WA MKEWE WENE TBS NA KUPIGIA MAGOTI CHIU ZA VIWANGO VYA KOMBE LA MBUZI. Unless vice versa is so true. Well i dont intend to be unnecessarily rude to the wife but maybe and by maybe i really do mean MAYBE mkewe HANA TBS! Mambo ya tikiti maji! *I better be running for my life*:lol:
 
Kumpenda mtu nipamoja na kumheshimu, angempenda angemheshimu asingeniganda wala nisingelazwa kwenye kitanda anacholala na mkewe na nisingekuwa wa kwanza kuzindua Nyumba anayoishi sasa kabla ya muhusika.

Kupenda nizaidi ya ufikiriavyo ila sio lililonileta hapa, sijivunii naumia nataka niutue mzigo nilioubeba mwenyewe bila kudhurika.

dah umenikunaje sasa..!!!
 
sioni sababu yoyote ya kumuacha sema tu wewe mwenyewe inaoneka ndo tabia yako ya kutaka kuonja mikuki ya wanaume,, embu jiulize utamuacha huyo utaenda kwa mwingine tena hivo hivo mwisho wa siku utakuwa kanda mbili zilizochoka na hapo sijui utaolewa na nani ss...ww jitie kiburi tu unafikiri siku zote utakuwa hivo????? tambua nyie wadada huwa mnachoka sana.

Mxiuuuuuuuuuuu! Alie kwambia ile sababuni useme ikisuguliwa sana itaisha nani? HAINA MAKOMBO ILE. iKIOSHWA KAMA MPYAAAA NA KIPYA HAKINYEMI INGAWA NI KIDONDA.

Huyo mtu atae oa mtoto under 20 lazima atakuwa pedophile.

And uless you is some kind of God utajuaje akienda kwa mwingine itakuwa hivo hivo?
 
sioni sababu yoyote ya kumuacha sema tu wewe mwenyewe inaoneka ndo tabia yako ya kutaka kuonja mikuki ya wanaume,, embu jiulize utamuacha huyo utaenda kwa mwingine tena hivo hivo mwisho wa siku utakuwa kanda mbili zilizochoka na hapo sijui utaolewa na nani ss...ww jitie kiburi tu unafikiri siku zote utakuwa hivo????? tambua nyie wadada huwa mnachoka sana.

Hivi hukusoma mwisho wa bandiko au, hao ndugu zako wa kike wameonja ngapi au wewe umeonja ngapi????

Nitolee hashuo lako la paka hapa.
 
Nafikiria Sana kufanya hili mana navyoona muda si mrefu yatamfikia, tatizo atanielewa au ndio ntampoteza.
Hilo si tatizo kwa mtu mwelewaji coz hapo baadaye atajishaua kwa kusema mbona hujaniambia tokea mwanzo...si unawajua hawa me akilizo zao kama za baba mmoja
 
wote maana hata huyo aliyeolewa kaolewa na mvuvi haramu na huyo bi shosti kanasa tena kwa mvuvi haramu

The best part ni kwamba BI SHOST IS NOT BOUND BY TILL DEATH DO THEM APART. aNAWEZA KUTAMBAA MDA WOWOTE NA KUWAACHIA UOZO WAO. Problem is even if she wants to she cant! SAD!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom