namuonea huruma sana!!
ni huruma it's normal kind of life to young women and teenegers
namuonea huruma sana!!
kuna mtu ambaye nilikuwa naye kwa muda mrefu, alinizidi umri Sana na ni mume wa mtu, niliitaji mtu wakuwa naye huru. Na kwakuwa huyu mchumba wake alikuwa mbali na mie moyo wa kupenda ulikufa sikuona shida kusogeza muda naye.Ni mwezi sasa na siku kazaa tangu aoe, .
Tulikuwa na kawaida ya
kupima, bahati mbaya ananijua Sana kiundani ndomana nakosa njia za
kumuepuka.
We mdada utatupeperushia michepuko yetu jamani khaaaa!!!Hahahahah angelita wewe ni mtoto?!
Usijidanganywe mwaya, huyo jamaa is just taking advantage of you. Hakuna cha kuwa taaban wala nini. I mean think about it, mmekutana akiwa na mchumba, mkawa pamoja na akakolea kweli kweli lakini recently ameamua kumuoa huyo aliyekuwa anajuta kuna na commitment nae?! We unaona nini hapo?!
Kama angekuwa hoi,taaban or whatever he tells you aingemuoa huyo aliyemuoa bali angekuoa wewe. Sababu ya kumuoa aliyemuoa ni kwamba ANAOGOPA KUMPOTEZA ila wewe hana wasiwasi na wewe hata kidogo. Na ndio maana wewe unajua kuhusu mwenzio na anakutumia apendavyo bila kuwa na future na wewe wakati mwenzio ana-treat-iwa delicately.
Fungua macho uone kisha utafute maisha yako mwenyewe. Huyo mwanaume anakuona wewe ni ----- na anajua huna ujanja juu yake. Wewe ndo uko taaban, amka mama utafute na wewe wa kukufia mpaka atake kuji-commit kwako na sio kwa mwenzio.
Usimwonee huruma punguza mawasiliano. Ikitokea umekutana nae usiwe soft kwake na wakati mwingine mwambie unamtu wako so akuheshimu kwa kuachana na wewe.
hahahha kesi ya nyani unampelekea tumbili lol
kwa sababu hata huyo single unayemtafuta utulie nae hujampata na kwa sababu nawe wataka wa kukupa penzi, trust me ukiachana na huyo mme wa mtu utakuja kumuhtaji tena. Masingle nao hawapatikani kirahsi siku hizi
You can't be serious!
I say that because, if you really want to, breaking things off ain't that hard.
In the same breath, if you've already caught (some) feelings for him, I can understand the dithery.
But, if you are really through with him, then what's so hard about making it plain (to him)?
Just tell him that you don't want him no more and that's it.
Mkuu angelita mwenye tatizo hapo utakuwa ni wewe. Kwanza huenda wewe mwenyewe huna ubavu wa kumuacha! Lkn nnachotaka kukushauri hapa,we endelea nae wala usiwe na hofu,we ukipata wa kukuoa na yeye mwambie umepata na hata baada ya ndoa mnaweza kuendelea tu.
Mapenzi hayana formula,ukiolewa hujui nini kitatokea kwa mumeo,hapa ndo kwenye faraja yako usithubutu kumwaga mtu ambae umemzoea! Mnaweza kupunguza tu muda wa kukutana lkn si kuachana!
namuonea huruma sana!!