king suleman
JF-Expert Member
- Jun 28, 2014
- 1,749
- 1,153
Yes Apo Sawa Alaf Mwili Ukiingiliwa Na Ant Gen Huwa Una Hisi Na Kuanza Ku Fight Kwa Kutumia White Blood Cell Hicho Kitendo Hufanya Kuongezeka Kwa Joto Mwilini1.Chemikali ambazo zinatolewa na bacteria waliopo mwili ambao wamesababisha homa zinafanya hypothalamus (ambayo ni kama thermostat kwenye mwili ihisi kwamba mwili unasikia baridi) kumbe wakati huo mwili upo na joto la kawaida kabisa au limezidi,so kinachofanyika ni mwili kujaribu kutafuta njia za kuongeza joto mwilini kama kutetemeka,kukaa juani au kuota moto kitu ambacho kitaongeza joto zaidi.
In short ni kwamba mtu anasikia baridi ambayo haipo.
Sent from my Huawei mate 9