Niulize swali lolote kuhusu Anatomy

Niulize swali lolote kuhusu Anatomy

Mbona nimekujibu vizuri tu mkuu.
Ishu iko hivi ukishika moto ubongo unakuambia umeshika moto,ukishika barafu vivyo hivyo...hayo yote yanatokea sababu ubongo umepelekewa taarifa kutoka hiyo sehemu yenye moto au barafu.
Kinachotokea kwa mtu mwenye homa ni kwamba zile taarifa zinazopelekwa kwenye ubongo zinatafsiriwa kama "Mwili una baridi" kumbe uhalisia ni mwili una joto.
Na ukumbuke kwamba ubongo utakavyo tafsiri hisia yoyote hata kama ni uongo ndivyo jinsi mwili mzima utakavyoielewa.

Ndiyo maana unaweza kukuta mtu amekatwa mkono kwenye kiwiko halafu akaja akakwambia vidole vya ule mkono vinauma wakati hata vidole vyenyewe havipo.
Nafrahi sana kwa elimu hii..
Nini kinasababisha ubongo utafri uongo? Kwa uelewa wangu, pale form 3 tuliambiwa kwenye hipothalamus kuna sehem inahusika na joto na nyinginge barid... Dam inapopita bas hupitia ktk sehem hizo!
Nakbaliana nawew..

Je, kwa nn ubongo utafrisi vibaya kipindi cha ugonjwa tu?? Mm naona kuna sabab nyingine!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa kuongezea bacteria wa malaria wana shambuli maji mwilini lazima yapungue. Kadri mashambulizi yanavyo kuwa makubwa.mwili lazima uta heat.nisawa na rejeta yaw gari maji yakipungua gari lazima ichemshe

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu bakteria gan huyo anasababisha malaria? Usitudanganye tafazar mkuu, hata pale kidato cha cha kwanza sijaona kama malaria hisababishwa na bakteria..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nafrahi sana kwa elimu hii..
Nini kinasababisha ubongo utafri uongo? Kwa uelewa wangu, pale form 3 tuliambiwa kwenye hipothalamus kuna sehem inahusika na joto na nyinginge barid... Dam inapopita bas hupitia ktk sehem hizo!
Nakbaliana nawew..

Je, kwa nn ubongo utafrisi vibaya kipindi cha ugonjwa tu?? Mm naona kuna sabab nyingine!

Sent using Jamii Forums mobile app
Ile chemikali inayotolewa na wale wadudu ndiyo inafanya ubongo utafsiri tofauti.
 
1.Kwanini wazee wa pwani wanaona ufahari kuwa na busha!?...this is purely from anatomical POV.
2.Kwanini kuna wanawake hawajihisi kuwa na mimba mpk pale tumbo linapokuwa kubwa!?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
huku hakutaki mawazo wala kuotea kaka n kula vichwa 2 kila semister, mkimaliza mnaagana kbsa hakuna uwakika wakuonana tena maeneo yale shikamoo VM

Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani utakua unamkumbuka mama pereka...prof asey...kipanyula hahahahaa

Nilikua rum moja na watu wa bvm wale jamaa wanasoma asee!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asante sana nimesoma Uzi wote, ninejifunza kitu, ila ifike kipindi baadhi ya watu wabadilike kuna watu kazi yao ni kuponda tuu liwe jema ama baya young blood endelea kutupa maujanja

Sent using Jamii Forums mobile app
Asante sana mkuu,watu kama hao lazima watakuwepo kila sehemu ndiyo maana umeona hata sijahangaika hata kuwajibu.
 
Back
Top Bottom