Niulize swali lolote kuhusu Anatomy

Niulize swali lolote kuhusu Anatomy

ZING SOKONI

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2014
Posts
19,512
Reaction score
57,105
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu uliza swali lolote kuhusu Anatomy nitakujibu hapa.
Karibuni
NB. Anatomy ya binadamu sio kiumbe mwengine.
Naona watu wanachanganya kati ya Anatomy and Physiology tafadhali ulizeni maswali ya ANATOMY.
Sent from my Huawei mate 9
226e865072693eb28f2166acfcd617a0.gif

4b904476fc31add075f079fa9234fe6b.jpg
28c3eb4aa7a4d1398670eb5220e39221.jpg
64253805458276a6f1a89a6e74d310a6.jpg
 
1)Kwa nini binadamu akiumwa homa anajiskia baridi ila ukimgusa mwilini ni wa moto inasababishwa na nini..??

2)Kwa nini virusi vya ukimwi vikingia kwnye mwili wa binadamu vinaenda moja kwa moja kukaa kwnye DNA.??

3) Kwa nini inakuwa vigumu kuviuwa virusi vya ukimwi vikiwa kwnye DNA.??

4)Kwa nini Binadamu akienda chooni kujisaidia haja kubwa lazima haja ndogo itoke kwa nini.??

5)Kwa nini binadamu akila chakula lazima abeuwe kubeuwa inasababishwa na nini..??

6)Kwa nini magroup ya damu yametofautiana...??

NB:nimekuliza maswali marahisi sana nataka nijue je ww kweli ni mtu wa medicine afu ndo tuje sasa kwnye maswali ya kibabe ya medicine..
 
1)Kwa nini binadamu akiumwa homa anajiskia baridi ila ukimgusa mwilini ni wa moto inasababishwa na nini..??

2)Kwa nini virusi vya ukimwi vikingia kwnye mwili wa binadamu vinaenda moja kwa moja kukaa kwnye DNA.??

3) Kwa nini inakuwa vigumu kuviuwa virusi vya ukimwi vikiwa kwnye DNA.??

4)Kwa nini Binadamu akienda chooni kujisaidia haja kubwa lazima haja ndogo itoke kwa nini.??

5)Kwa nini binadamu akila chakula lazima abeuwe kubeuwa inasababishwa na nini..??

6)Kwa nini magroup ya damu yametofautiana...??

NB:nimekuliza maswali marahisi sana nataka nijue je ww kweli ni mtu wa medicine afu ndo tuje sasa kwnye maswali ya kibabe ya medicine..
Asante nashukuru kwa maswali mazuri japokuwa mengine sio ya Anatomy ila nitakujibu kadri niwezavyo

Sent from my Huawei mate 9
 
1.Chemikali ambazo zinatolewa na bacteria waliopo mwili ambao wamesababisha homa zinafanya hypothalamus (ambayo ni kama thermostat kwenye mwili ihisi kwamba mwili unasikia baridi) kumbe wakati huo mwili upo na joto la kawaida kabisa au limezidi,so kinachofanyika ni mwili kujaribu kutafuta njia za kuongeza joto mwilini kama kutetemeka,kukaa juani au kuota moto kitu ambacho kitaongeza joto zaidi.
In short ni kwamba mtu anasikia baridi ambayo haipo.

Sent from my Huawei mate 9
 
2.Kwanza virus vya ukimwi vikingia mwili havikai kwenye DNA bali vinatumia DNA za mwili kujizalisha(replication)
HIV virus akiingia mwilini anashambulia T helper cell amabzo zinajulikana kama CD4 cells kwasababu hizo CD4 cells zina vitu vinaitwa receptors zinazofanya HIV aweze kutua hapo tofauti na Cells nyingine.

Sent from my Huawei mate 9
 
3.Kwasababu tayari vinakuwa kama sehemu ya cell za mwilii hivyo huwezi kuuwa virus bila kuharibu cells

Sent from my Huawei mate 9
 
6.There are four major blood groups determined by the presence or absence of two antigens – A and B – on the surface of red blood cells:

Group A – has only the A antigen on red cells (and B antibody in the plasma)Group B – has only the B antigen on red cells (and A antibody in the plasma)Group AB – has both A and B antigens on red cells (but neither A nor B antibody in the plasma)Group O – has neither A nor B antigens on red cells (but both A and B antibody are in the plasma)

Sent from my Huawei mate 9
 
Kwanini Mimi mwenye Group O+ siugui hata miaka 7 lakini siku nikiugua ni balaa kwangu? Yaani mwili wangu haupatwi na homa, malaria, tumbo, n.k. ila siku nikiugua unaweza fikiria sitapona tena.
Nisaidie

Sent using Jamii Forums mobile app
The only thing i Know ni kwamba O+anaweza kumpa damu mtu mwenye O+,A+,B+,AB+ lakini yeye shida ni kwamba anaweza kupokea damu kutoka kwa O+au O- tu,kitu ambacho kinamuweka katika mazingira magumu pale akitakiwa kuongezewa damu sababu hizo type ni very rare.

Sent from my Huawei mate 9
 
Back
Top Bottom