Niulize swali lolote kuhusu Anatomy

Niulize swali lolote kuhusu Anatomy

1)Kwa nini binadamu akiumwa homa anajiskia baridi ila ukimgusa mwilini ni wa moto inasababishwa na nini..??

2)Kwa nini virusi vya ukimwi vikingia kwnye mwili wa binadamu vinaenda moja kwa moja kukaa kwnye DNA.??

3) Kwa nini inakuwa vigumu kuviuwa virusi vya ukimwi vikiwa kwnye DNA.??

4)Kwa nini Binadamu akienda chooni kujisaidia haja kubwa lazima haja ndogo itoke kwa nini.??

5)Kwa nini binadamu akila chakula lazima abeuwe kubeuwa inasababishwa na nini..??

6)Kwa nini magroup ya damu yametofautiana...??

NB:nimekuliza maswali marahisi sana nataka nijue je ww kweli ni mtu wa medicine afu ndo tuje sasa kwnye maswali ya kibabe ya medicine..
2. Kila kirusi ni lazima kiingie kweny DNA ili kiweze kuleta madhara

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1.Chemikali ambazo zinatolewa na bacteria waliopo mwili ambao wamesababisha homa zinafanya hypothalamus (ambayo ni kama thermostat kwenye mwili ihisi kwamba mwili unasikia baridi) kumbe wakati huo mwili upo na joto la kawaida kabisa au limezidi,so kinachofanyika ni mwili kujaribu kutafuta njia za kuongeza joto mwilini kama kutetemeka,kukaa juani au kuota moto kitu ambacho kitaongeza joto zaidi.
In short ni kwamba mtu anasikia baridi ambayo haipo.

Sent from my Huawei mate 9
Umevuruta mkuu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jibu rahisi ni kwamba inaweza kuwa congenital anaomaly or failure of testicular decent during embryogenesis.

Sent from my Huawei mate 9
Hili ndilo tatizo la wasomi wetu... Hiv kama mm sina kabisa uelewa wa koz hii je huwezi nijibu kwa lugha nyepesi ili nielewe? Naona unachukua kama ulivyosoma kwenye notes!
Please mkuu jaribu kutumia lugha nyepes na ss tufaham

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hili ndilo tatizo la wasomi wetu... Hiv kama mm sina kabisa uelewa wa koz hii je huwezi nijibu kwa lugha nyepesi ili nielewe? Naona unachukua kama ulivyo

Hili ndilo tatizo la wasomi wetu... Hiv kama mm sina kabisa uelewa wa koz hii je huwezi nijibu kwa lugha nyepesi ili nielewe? Naona unachukua kama ulivyosoma kwenye notes!
Please mkuu jaribu kutumia lugha nyepes na ss tufaham

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekuelewa Mkuu
 
1:clinical importance of anatomical snuff box.
2:what is testes transplantation.
3:which kidney is the best for transplantation with reason.

Sent using Jamii Forums mobile app
1.Anatomical snuff box.
Hiyo ni sehemu ipo kwenye mkono zinapita hapo branch of radial nerve pamoja radial artery and cephalic vein.
Clinical importance ni kama hivi.
1.Unaweza kuchukua radial pulse hapo badala ya ile sehemu tuliozoea kuchukua pulses.
Fracture ya radial styloid au scaphoid bone inaweza kusababisha damage ya hizo structure ambazo zinapita hapo.[emoji115]
 
Hujajibu swali, "KWANN ANASIKIA BARID WAKATI ANA JOTO JINGI?" Na sio kinachosababisha joto jingi wakati wa kuumwa!

Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona nimekujibu vizuri tu mkuu.
Ishu iko hivi ukishika moto ubongo unakuambia umeshika moto,ukishika barafu vivyo hivyo...hayo yote yanatokea sababu ubongo umepelekewa taarifa kutoka hiyo sehemu yenye moto au barafu.
Kinachotokea kwa mtu mwenye homa ni kwamba zile taarifa zinazopelekwa kwenye ubongo zinatafsiriwa kama "Mwili una baridi" kumbe uhalisia ni mwili una joto.
Na ukumbuke kwamba ubongo utakavyo tafsiri hisia yoyote hata kama ni uongo ndivyo jinsi mwili mzima utakavyoielewa.

Ndiyo maana unaweza kukuta mtu amekatwa mkono kwenye kiwiko halafu akaja akakwambia vidole vya ule mkono vinauma wakati hata vidole vyenyewe havipo.
 
Back
Top Bottom