Nitazidi kuongea hata kama mkiniita tapeli

Sijakaa nakubaliana na wewe, but concern yangu, kwa maisha yetu wa Tz tulio wengi, its hard ku afford kununua 1 bit coin for 23k, instead we can focus on buying m
New Usd coin, ambayo itaanza at very reasonable price na kuna possibility kubwa ya ku mature na ku gain wealthy
Hii inaweza kuanza kuuzwa lini mkuu? kuna chanzo chochote unaweza ku share nasi tukasoma kwa undani zaidi. Ahsante
 
Unavyo ongea ni rahisi sana kuliko uhalisia wenyewe ukisha ingia kwenye hizo mambo, usifikirie watz ni wajinga kwamba hawazijui wanazijua sana ila risk zake ndo zinasababisha wazitupie kisogo.

N:B hakuna mtanzania atakae kulazimisha upate pesa uwe millionaire ili hali nae ana njaaa, ukiitiwa fulsa ujue ww ndo fulsa kwake
 
Humu ndani ukizungumza habari za Forex na Bitcoin, unaitwa tapeli. Iteni mpendavo lakini lazima niwachangamshe akili kidogo.

Bitcoin moja leo imefika USD 23,000 ( Kama Tzs 53 Million.

Na tarehe 16 March mwaka huu 2020, bei ya bitcoin moja ilikuwa inauzwa kwa Tzs 11 Million, maana yake ni kwamba kama uliwekeza milioni 11 mwezi march, sahiv ungekuwa na faida kama Tzs 42 Million.

Yaani ungeweza kabisa ku postpone kununua IST na ukarisk kwenye bitcoin, ungekuta sahiv unaongelea kununua Ford Ranger!!.

View attachment 1652679

Anyway, lengo la uzi wangu sio kuwatia watu machungu, najua kuna matomaso hapa wataniuliza, wewe umetengeneza faida ya sh ngapi mpaka sasa..?

Lengo langu kwenye huu uzi ni kuwakumbusha kwamba, FINANCIAL MARKETS IS REAL..

Somewhere, someone is making good monies out of it, so sio vizuri kutukana hustlers wa kwenye bitcoin na forex.

Kama kitu hutaki, potezea kimya kimya.. ila usiwavunje watu moyo.

Hivo yani.
Hiyo yani!!kwa lugha hii,na wewe ni wale wale,
Taperi tu,
Utajiri ni siri,ukiona mtu anakuambia njoo huku Kuna pesa,tukipiga deal flani,jua huo ni wizi mtupu.
 
Hiyo march kuna watu walipanick wakauza btc zao zote, nina hakika kwa sasa wanajuta.

Nami ngoja nianze utaratibu wa kuacha angalau 20% kwenye wallet yangu maana kila wiki nalipwa hizo btc, baada ya mwaka nadhan nitakuwa nimekusanya za kutosha!
 
Hiyo march kuna watu walipanick wakauza btc zao zote, nina hakika kwa sasa wanajuta.

Nami ngoja nianze utaratibu wa kuacha angalau 20% kwenye wallet yangu maana kila wiki nalipwa hizo btc, baada ya mwaka nadhan nitakuwa nimekusanya za kutosha!
Hivo vi coin vinasaifiaga sana.. saa nyingine mtu unaweza kuwa umefulia ukiingia kwenye wallet unakuta kama vi dola mia vinaku save.. imenitokea mara nyingi sana
 
Unavyo ongea ni rahisi sana kuliko uhalisia wenyewe ukisha ingia kwenye hizo mambo, usifikirie watz ni wajinga kwamba hawazijui wanazijua sana ila risk zake ndo zinasababisha wazitupie kisogo.

N:B hakuna mtanzania atakae kulazimisha upate pesa uwe millionaire ili hali nae ana njaaa, ukiitiwa fulsa ujue ww ndo fulsa kwake
Sawa mwananchi mjanja... Endelea kuwa mjanja hivo hivo ukidhani kila mtu anawinda hiyo hela yako..
 
31 Reactions
Reply
Back
Top Bottom