Sir Carter
JF-Expert Member
- Sep 7, 2017
- 632
- 1,396
Wakumbushe mkuu maisha haya kuna watanzania wengi bado tuko nyuma na hizi financial markets ilihali wenzetu wanatusua huko kupitia hii kitu
Dalili za kutaka kuwatapeli wenzio Fanya kazi acheni na hizo habari za ujanja janja...Inategemea mkuu, kwani bitcoin mbona kuna watu wananua hata za usd 1000... Unachoangalia wewe ni return in terms ya % ya ulicho kiwekeza.. so bado sioni mashiko hapo mkuu
Huo Uzi wa Bitcoin upo wapHumu ndani ukizungumza habari za Forex na Bitcoin, unaitwa tapeli. Iteni mpendavo lakini lazima niwachangamshe akili kidogo.
Bitcoin moja leo imefika USD 23,000 ( Kama Tzs 53 Million.
Na tarehe 16 March mwaka huu 2020, bei ya bitcoin moja ilikuwa inauzwa kwa Tzs 11 Million, maana yake ni kwamba kama uliwekeza milioni 11 mwezi march, sahiv ungekuwa na faida kama Tzs 42 Million.
Yaani ungeweza kabisa ku postpone kununua IST na ukarisk kwenye bitcoin, ungekuta sahiv unaongelea kununua Ford Ranger!!.
View attachment 1652679
Anyway, lengo la uzi wangu sio kuwatia watu machungu, najua kuna matomaso hapa wataniuliza, wewe umetengeneza faida ya sh ngapi mpaka sasa..?
Lengo langu kwenye huu uzi ni kuwakumbusha kwamba, FINANCIAL MARKETS IS REAL..
Somewhere, someone is making good monies out of it, so sio vizuri kutukana hustlers wa kwenye bitcoin na forex.
Kama kitu hutaki, potezea kimya kimya.. ila usiwavunje watu moyo.
Hivo yani.
Walikuwa wanaichungulia system gani?They are billionaires, unafikiri wanacheza na speculations tu bila kuichungulia system..
Mbona hata Pablo na El Chapo walikuwa successful kwenye biashara zao ingawa si halali na hatarishi?
Mekuu ebu tukutane pale Hugo's tupate mbuzi choma na glass ya JD..
Mentality ya watu tayar ipo corrupted.. yaani kuleta tu uzi wa aina hii.. kuna tayar wanadhani eti nataka kuwatapeli akati sijawaomba hata kumi..Wakumbushe mkuu maisha haya kuna watanzania wengi bado tuko nyuma na hizi financial markets ilihali wenzetu wanatusua huko kupitia hii kitu
Kuna cryptos sahiv zinafika zaidi ya 10,000 sio guarantee kuirukia yoyote.. hapo pia kuna akili lazima utumie mkuu.. ndo financial markets zilivoJuzi kuna mdau alileta thread ya Pi Coin kwa sasa ni bure kabisa. Ina zero value at the market ipo katika phase ya pili ya development. Unachotakiwa ni kuanza kumine mpaka itakapo ingia phase ya tatu ndio watasimamisha mining na kua na value. Ila watu watapotezea 5-10 years later tutaishia kusema ni utapeli tu kumbe wenzako waliinunua wakati ikiwa haina thamani.
Nilijua mtajitokeza wenye mtizamo huu.. sijashangazwa hata kidogo..Dalili za kutaka kuwatapeli wenzio Fanya kazi acheni na hizo habari za ujanja janja...
Vip mkuu.. wewe unaniweka kundi gani? Tapeli au muelimishaji?@nantombe mushi
Sio matusi mkuu.. hiyo ki kwetu ni salamu ya asubuhi..Sasa hilo jina lako mbona matusi bro
Muelimishaji lakini akili kumkichwaVip mkuu.. wewe unaniweka kundi gani? Tapeli au muelimishaji?
Ontario huyu huyu anayepiga picha nyumba za watu afu anasema ni nyumba aliyowajengea wazazi wake?Ontario ana bilioni moja na ushee za kibongo ni hatari
Hahaha.. maana yake umeniita Muelimishaji Tapeli.. 😆😆😆Muelimishaji lakini akili kumkichwa
Hapana mbeeHahaha.. maana yake umeniita Muelimishaji Tapeli..
Ukiniweka kundi moja na Ontario utakuwa unanikosea sana..Ontario ana bilioni moja na ushee za kibongo ni hatari
Fanyia kazi mkuu.. financial markets inaweza kukupa pesa .. juzi tu january hisa za CRDB zilikuwa zinauzwa sh 90 leo hii zipo kwenye 190 hapo ni faida mara mbili ya ulichowekeza, kuna utapeli hapo?Hapana mbee
Unajua kinachotia hofu ni serikali yenyewe maana ishaona watu wamehamishia mizigo huko hiyo mzunguko ma bank hakuna na wao kama serikali hawapati faida yaoFanyia kazi mkuu.. financial markets inaweza kukupa pesa .. juzi tu january hisa za CRDB zilikuwa zinauzwa sh 90 leo hii zipo kwenye 190 hapo ni faida mara mbili ya ulichowekeza, kuna utapeli hapo?
Inategemea tu mtizamo wa mtu unavochukulia taarifa fulani
Primitive thinkingPyramid Business.. Hakuna cha zaidi..
Wachache wa kwanza ndio watafaidika, watakaofata ndio cha moto watakiona..
It's the likes of Mr Kuku, Deci, Qnet..