Bulaya001
JF-Expert Member
- Dec 21, 2018
- 6,115
- 6,827
Ndug wameingia vp ktk huu uzi. Jitathimin vzr kisha jenga hoja..Inategemea,ila mapenzi ni ya watu wawili na hayatakiwi kushirikisha wazazi,rafiki, wala ndugu,nyie wawili mtakavyoamua kuendesha mahusiano yenu hadi kuwa mme na mke inakuwa sawa.Tofauti itatokea pale kama kuna upande ulikuwa unaigiza kupenda,na pia kukiwa na ushindani lazima upande mmoja uumie.
Sent using Jamii Forums mobile app



