Bulaya001
JF-Expert Member
- Dec 21, 2018
- 5,868
- 6,480
Ndo ushukuru sasa umeona tabia yake halisi bado mkiwa kwenye hatua za awali, imagine ndo mngekuwa ndoani tayari afu ndo akakutelekeza. Ubaya wa mtu usikufanye ukabadili "utu" wako mwema. There's no reward for being a bad person. Ukitenda baya, kwa kuamua tu au hata kwa kulipiza, jua tu ubaya huu utakurudia wewe au kizazi chako mara 10 zaidi. Just give this word some +ve energy. Haijalishi watu wabaya ni wangapi, wewe amua tu kuwa mwema. Wema hauozi, afu si kila mtu anaweza mtendea mwingine mabaya na akaishi kwa amani tu. Wengine kila siku unakuwa unajihukumu nafsini mwako; so just be a good person
Sent using Jamii Forums mobile app