Nitakuwa nakosea?

Nitakuwa nakosea?

Inategemea,ila mapenzi ni ya watu wawili na hayatakiwi kushirikisha wazazi,rafiki, wala ndugu,nyie wawili mtakavyoamua kuendesha mahusiano yenu hadi kuwa mme na mke inakuwa sawa.Tofauti itatokea pale kama kuna upande ulikuwa unaigiza kupenda,na pia kukiwa na ushindani lazima upande mmoja uumie.
Mi huwa nawahurumia wanaojikuta wameingia kwenye ndoa na watu wa aina hii..
Kitu kidogo tu anakuacha
hawawexi kuvumilia changamoto za mwingine

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi huwa nawahurumia wanaojikuta wameingia kwenye ndoa na watu wa aina hii..
Kitu kidogo tu anakuacha
hawawexi kuvumilia changamoto za mwingine

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio maana kuna usemi tafuta mwanaume (mtu anayejua maisha na changamoto za kijinsia n.k);sasa ukiendelea kuangaika na wavulana lazima hayo matatizo yawepo.Mwanaume anatunza siri ya mkewe na mwanamke anatunza siri ya mumewe,na wote wanaishi kwa furaha bila kujali upungufu wa mwenzake.
 
Siku zote chagua mnayeendana ata kama anakasoro ila chagua utakayeisi ni sahihi kwako ila usimsamehe aliyekuacha kwenye matatizo au msamaha wako usiwe wa kurudiana labda uwe wa kutimiza ahadi ya Mungu samehee lakini usisahau ila kikubwa tumia akili katika kumchagua mwenza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom