Desire Dizaya
JF-Expert Member
- Feb 16, 2015
- 6,476
- 11,628
- Thread starter
- #161
Hakuna magonjwa ya kurithi wala kubwa loloteMfano: mtu mwenye magonjwa ya kurithi yanayoweza kuendelea kwenye kizazi chake,mara nyingi mtu mwenye mahusiano na huyu mwenye hili tatizo yanaweza yasidumu kutokana na kasoro zinazoweza kuathiri kizazi kijacho;kwa hiyo hapa itategemea imani yako au ya mtu husika.
Wanaosema unakosea hayajawahi kuwakuta. ...... Ila binafsi ilishanitokea kwahyo naelewa vizur tu
Wanaume hawana subra/uvumilivu kabisaa, ila wenyew wanataka kuvumiliwa mxiieeww
Hiko ni kipind cha mda tu ukikaa sawa utaona inavyojileta.... Aiseee asie eleweka/financially stable tupa kule wala usilifikirie Mara mbili.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa kama unamatatizo why asikuache? Rekebisha hayo matatizo kama hutaki akuache.
Ni wangapi hawakupendi kwa matatizo yako, au unataka tu kuumiza wengine wasio na hatia kwasababu ya mtu mmoja aliyekukacha wakati unamatatizo, na huoni kuwa hata nafsi yako itakuwa inakusuta kuona unaumiza mtu ambaye hana habari kwamba uliwahi kukachwa wakati unapitia magumu?Yani kwamba sitopendwa kwa matatizo yangu..je nahitaji kumpenda mtu kwa matatizo yake?
Sent using Jamii Forums mobile app
🤣😂😂😂Ile emoji ya kucheka kila nikiona nlikuwa natabasamu.
Itakuwa hakuwa tayari kuishi na wewe,ndio maana akatumia hiyo kuwa sababu.Nachoweza kukushauri,tafuta mtu ambaye yuko tayari kuitwa baba,nadhani hutojuta.
Nilikuwa naambiwa hata kwenye msiba nacheka.Ile emoji ya kucheka kila nikiona nlikuwa natabasamu.
Hahah ni kweli kabisa. Unakuta mada serious halafu emoji inacheka.Nilikuwa naambiwa hata kwenye msiba nacheka.
Amerekebisha, mwanzo hakuandika hivyo.Yamekutoka bahati mbaya au umekusudia dada?
Utakosea sana maana akikusea shabani usipeleke hasira kwa juma mpuuze na ujue haikuwa riziki sio kukaa na kinyongoIkiwa mwananume ananiacha mimi sababu ya matatizo yangu na majaribu nnayopitia.
Nami siku yakipita nkasema sutaki mtu mwenye matatizo ntakua mkosaji?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimesoma nikaamua kumpuuza. Huoni hata comments zake zingine!!!Hahaha
Watu mnajua kuparamia comment humu bila hata kufikiri
espy njoo ujibu huku
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni wangapi hawakupendi kwa matatizo yako, au unataka tu kuumiza wengine wasio na hatia kwasababu ya mtu mmoja aliyekukacha wakati unamatatizo, na huoni kuwa hata nafsi yako itakuwa inakusuta kuona unaumiza mtu ambaye hana habari kwamba uliwahi kukachwa wakati unapitia magumu?
Cha muhimu tu hapa nakuomba mdogo wangu uwe makini wakati unaanzisha mahusiano mapya, wapo wenye mapenzi ya kweli japo ni ngumu kubaini yupi wa kweli yupi ni mwongo kwasababu wanjajanja pia hukaa macho juu juu kuvizia mipira iliyokufa ili wabutue maana kwenye msafara wa mamba mikenge hukaa humo humo.
Pole kwa matatizo mdogo wangu, siyo kila siku ni ijamaa kwahiyo kubali kuwa hii imeshatokea na maisha yanaendelea, ipo siku isiyo na jina atatokea mfalme wa moyo wako na uta-enjoy sana tu...
Sent using Jamii Forums mobile app
Itakuwa hakuwa tayari kuishi na wewe,ndio maana akatumia hiyo kuwa sababu.Nachoweza kukushauri,tafuta mtu ambaye yuko tayari kuitwa baba,nadhani hutojuta.
Utakosea sana maana akikusea shabani usipeleke hasira kwa juma mpuuze na ujue haikuwa riziki sio kukaa na kinyongo
Huyo ni dhaifu zaidi ya bunge la JMT, yani kuumia mguu ndo amekukimbia...!! Yani watu hatuna miguu na bado tunapendwa,, mwache aende aisee, nani alimwambia yeye atakufa akiwa na macho au miguu au chochote kile kingali kizima?
Amesahau msemo mmoja unasema HUJAFA...........
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna mkamilifu. Utakayempata naye atakua na matatizo yake tu.Ikiwa mwananume ananiacha mimi sababu ya matatizo yangu na majaribu nnayopitia.
Nami siku yakipita nkasema sutaki mtu mwenye matatizo ntakua mkosaji?
Sent using Jamii Forums mobile app