Nitakuwa nakosea?

Nitakuwa nakosea?

Inategemea,ila mapenzi ni ya watu wawili na hayatakiwi kushirikisha wazazi,rafiki, wala ndugu,nyie wawili mtakavyoamua kuendesha mahusiano yenu hadi kuwa mme na mke inakuwa sawa.Tofauti itatokea pale kama kuna upande ulikuwa unaigiza kupenda,na pia kukiwa na ushindani lazima upande mmoja uumie.
 
Pole mkuu,kuna mdada mmoja niliwahi kuwa naye..yeye aliniacha enzi hizo akidai ana matatizo..hivo anahitaj muda ili aweze ku concentrate na utatuaji wa matatizo yake..

So,sio kila mwenye matatizo anachwa, wengine ndo huacha..au pia inawezekana ikawa ni exit strategy
 
Naongelea kuachwa sasa
Pole mkuu,kuna mdada mmoja niliwahi kuwa naye..yeye aliniacha enzi hizo akidai ana matatizo..hivo anahitaj muda ili aweze ku concentrate na utatuaji wa matatizo yake..

So,sio kila mwenye matatizo anachwa, wengine ndo huacha..au pia inawezekana ikawa ni exit strategy

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom