Nitakuwa nakosea?

Nitakuwa nakosea?

Ikiwa mwananume ananiacha mimi sababu ya matatizo yangu na majaribu nnayopitia.
Nami siku yakipita nkasema sutaki mtu mwenye matatizo ntakua mkosaji?

Sent using Jamii Forums mobile app

ALIKUPENDA KWA KUWA UNA MASLAHI FULANI, KWA KUWA MASLAHI ANAYOYATAKA HAYAPO ANASEPA TU. USIJIRAHISISHE SANA BI DADA, ULIMWENGU WA SASA UONGO NI SILAHA MUHIMU SANA KATIKA MAHUSIANO. KAANGALIE SERIES YA "A MAN CALLED GOD" MUONE PETER PAN ANAVYOMPENDA VIVIAN LICHA YA KWAMBA ALIMSALITI LAKINI NA YULE MWANDISHI WA HABARI, LAKINI ALIMTUMIA BINTI WA TAJIRI AMBAYE BABA YAKE NI ADUI YAKE NAMBA 1 LICHA YA KWAMBA BINTI ALIKUWA CHIZI MAPENZI. SHIDA ILIKUWA NI KUPATA ANACHOKITAKA KUPITIA MTOTO WA ADUI YAKE!

UMEKUTANA NA PETER PAN AU MICHAEL KING
 
Hapana. Namaanisha changamoto za kimaisha
Hebu tufanye mfano una mpenzi lakini ghafla unapafa ajali inayopelekea wewe kusindwa kufana yale ya kawaida na kudondoka financially
Then yeye anaamua kukuacha sababu a hiyo hali unayopitia..

Sent using Jamii Forums mobile app
hiyo hali kwa akiri za kibinadam lazma tu nikuache make ntaingia kwenye changamoto ya kuanza kukufanyia kila kitu hata kukutawaza piah...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ikiwa mwananume ananiacha mimi sababu ya matatizo yangu na majaribu nnayopitia.
Nami siku yakipita nkasema sutaki mtu mwenye matatizo ntakua mkosaji?

Sent using Jamii Forums mobile app
Utakuwa unakosea,kuweka vinyongo na visasi ni dhambi ambayo unaweza hisi unawakomesha watu wengine kumbe unajikomesha mwenyewe,na at end of the day ni wewe mwenyewe ndio utajikuta unapata matatizo,hasa ya afya ya mwili na roho...
 
Utakosea,tena saaana,utatengeneza circle ya kujirudia,uliachwa,ukaacha na uliemuacha ataacha sababu ya matatzo ya mwenza wake kama ulivyomfanyia
Kingine aliekupenda hawez kukuacha kisa matatizo,kuna asilimia kubwa aliekuacha hakukupenda ila alipenda kitu fulan hv kwako(ushakielewa),anaekupenda huumia ukiumia,huwa na mawazo ukiwa na matatizo mnashikamana,pendwa kwanza(ingawaje kumjua anaekupenda n mtihan mwingne) then utaamin kupendwa raha ukiwa na matatizo,utaenjooooooooi weweeeeee(USHAURI WA USINGIZ DADA ANGU HUU)
Ivi ushaona mtu akiwa ktk matatizo kabisa ya ajari(eg aliyekuwa msindi wa bss miaka ya nyuma) jinsi alivokuwa mara baada ya kupata ajari.. Inafkia hatua hadi watu wanadai kuwa mke wa jamaa alie pata ajari ni mvumilivu, Jaman tusiongee vitu kama kuliwazana hapa tuongeen uhalisia ulivo kuwa hakuna mwanadam wa kuhimili hali hiyo, ukitaka kuamin uguliwa na hata mzazi wako kabisa ndani ya mwezi au zaidi, na augue serious kwel kwel, uone kama hujaanza kusema afadhari apumzike kuliko kuwatesa hivo, ukweli ni kuwa ugonjwa hauna mstahimilivu..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom