Mleta mada atakuwa anafanyia kazi taarifa za awali
HahahahaGhafla umekaa unasoma comment unaona tarehe ya dem wako, kama haitoshi unaona anaelezewa yeye kabisa na mwamba mwingine... kaa kwa step
29/2 EHabari zenu wana ndoa na wenye ndoto za ndoa,
Yawezekana umewahi kusikia kauli maarufu sana inasema;
"Kosea yote usikosee ndoa"
Katika thread hii nitakupa maana halisi na siri iliyojificha nyuma ya kauli hiyo hivyo ukiweza kunitajia tarehe yako na ya mwenza wako na herufi zenu za mwanzo,mchumba,mpenzi na mwanandoa nitakupa taarifa zako na zake na siri zake kimapenzi hivyo utakachojua hapa ni kitu kitakachokusaidia kuimarisha mahusiano yenu au kuyaharibu kabisa.
View attachment 2185484
Yafuatayo nitakutajia;
MATOKEO:
- Tabia zake
- Sehemu yake ya hisia
- Jinsi ya kumfanya azidi kuwa karibu na wewe
- Mtizamo wake kwako
- Mtizamo wako kwake
- Unachopenda akufanyie
- Udhaifu wake
- Na vingine vya ziada
Kwa asilimia 90 nitakayokwambia ni ya kweli kama sivyo basi kuna mmoja kati yenu alidanganya tarehe kwa mwingine,
Rakims
Me 25/11 YNgoja nimsaidie mwenye uzi kadri ya ufahamu wangu mdogo wa nyota
Wewe ni Capricon..soulmate wako hapa ni huyu wa tatu ambae ni VirgoYangu 10/1
Ke wakwanza 6/4
Wapili 9/ 2
Watatu 15/9
Wanne 11/2
Sagitarius na Leo-Very compatibleMe 25/11 Y
Ke 16/8 A
Pisces na Libra-In long term plan NOT COMPATIBLEJina langu linaanzia na S na tarehe ni 12, march
Yeye linaanzia na K (khadija) na tarehe yake ni 16 october