Nyi ndo mnafanya watu wakate tamaa za kutupa elimu za bure mm memuomba ushauri kibao na umenidaidia hajawahi omba mia.ila kama unataka muonane je hujui hii kazi ya watu na si bureHuyu jamaa ni tapeli
BossSawa,
Asante kwa Taarifa
HahahMimi ----- 25/11 herufi "Y" jinsia Me
Yeye ------- 16/8 herufi "A" jinsia Ke
Status : uchumba sugu..
26/11 herufi R jinsia meHabari nakukaribisha katika Group ya Rakims Spiritual ambayo itakuwa inahusika na maswali na majibu.
Nidhani ni jambo kuu la kwanza katika group hiyo na muhimu zaidi ni kujitahidi kuuliza maswali ambayo yamejaa hekima na msaada kwa wengine na kujaribu kuwaelewesha wengine vile ulivyoelewa darasa zetu na kutoa mawazo yako tofauti...
Group hii ni group moja ambayo itazaa group 3 zingine za ziada ambazo zinatoa mafunzo ya kina na group ambazo zitahusishwa na mafunzo specific kwa watu husika.
Group hizi zitakuwa na Ada.
Angalizo:
Admin si wakati wote atakuwa anapatikana mtandaoni ni wakati tu ambao anakuwa huru kuwepo.
Note:
Group ni ya masaa 24
Group itakuwa na Members 100
Group haitaki utani
Group haihitaji kebehi
Group haihitaji mizozo
Na sheria zingine zitakazo kubaliana baina ya mwalimu na wanafunzi,
Kipindi hiki ni cha bure kwa baada ya muda kitakuwa cha kulipia.
Rakims S.
Tutumie tena linkHabari nakukaribisha katika Group ya Rakims Spiritual ambayo itakuwa inahusika na maswali na majibu.
Nidhani ni jambo kuu la kwanza katika group hiyo na muhimu zaidi ni kujitahidi kuuliza maswali ambayo yamejaa hekima na msaada kwa wengine na kujaribu kuwaelewesha wengine vile ulivyoelewa darasa zetu na kutoa mawazo yako tofauti...
Group hii ni group moja ambayo itazaa group 3 zingine za ziada ambazo zinatoa mafunzo ya kina na group ambazo zitahusishwa na mafunzo specific kwa watu husika.
Group hizi zitakuwa na Ada.
Angalizo:
Admin si wakati wote atakuwa anapatikana mtandaoni ni wakati tu ambao anakuwa huru kuwepo.
Note:
Group ni ya masaa 24
Group itakuwa na Members 100
Group haitaki utani
Group haihitaji kebehi
Group haihitaji mizozo
Na sheria zingine zitakazo kubaliana baina ya mwalimu na wanafunzi,
Kipindi hiki ni cha bure kwa baada ya muda kitakuwa cha kulipia.
Rakims S.
Napingana nawewe moja kwa moja Rakim's amekuwa msaada wa mambo mablimbali kwa wale walio omba elimu ya jambo lililo watatiza. Mimi shahidi alisaidia ushauri na nilifanikishaHuyu jamaa ni tapeli
Mbona link ume resetHabari nakukaribisha katika Group ya Rakims Spiritual ambayo itakuwa inahusika na maswali na majibu.
Nidhani ni jambo kuu la kwanza katika group hiyo na muhimu zaidi ni kujitahidi kuuliza maswali ambayo yamejaa hekima na msaada kwa wengine na kujaribu kuwaelewesha wengine vile ulivyoelewa darasa zetu na kutoa mawazo yako tofauti...
Group hii ni group moja ambayo itazaa group 3 zingine za ziada ambazo zinatoa mafunzo ya kina na group ambazo zitahusishwa na mafunzo specific kwa watu husika.
Group hizi zitakuwa na Ada.
Angalizo:
Admin si wakati wote atakuwa anapatikana mtandaoni ni wakati tu ambao anakuwa huru kuwepo.
Note:
Group ni ya masaa 24
Group itakuwa na Members 100
Group haitaki utani
Group haihitaji kebehi
Group haihitaji mizozo
Na sheria zingine zitakazo kubaliana baina ya mwalimu na wanafunzi,
Kipindi hiki ni cha bure kwa baada ya muda kitakuwa cha kulipia.
Rakims S.