Nipo Mwanza, haijanivutia kabisa

Nipo Mwanza, haijanivutia kabisa

Kwan unatafutann huko au ndo utapel......ondoka kama hapavutii ushamba wako huo wa kushukia misungwi nan anautaka humu.... shamba kweli hili jamaa halina hata uzi wa maana
 
Habari zenu wadau
Ni siku yangu Ya pili hapa Rock City (Mwanza) kama inavyo julikana na wengi

Kwa wale wanao tamani kufika mwanza ambalo lisha tunukiwa sifa ya jiji miaka kadhaa sasa lakini jina hilo haliendani na sifa ambayo inapewa

Saa yangu inaonyesha ni saa 1:23 usiku ndani ya dar lux tunaingia mwanza, moyo unashtuka baada ya kuambiwa Nyegezi stand ndo mwisho wa safari, wakimaanisha tusha fika mwanza

Ni giza kila sehemu stand ya nyegezi kama dampo jamaaaani hakuna taa barabara imejaamashimo, taa za barabarani haziwaki

Tunatoka nyegezi twaelekea Nata ambako ndio mwisho wa gari jamaaaani city centre mashimo, viroba vya taka vimetupwa katikati ya barabara

Hiyo ndio mwanza unayo isikia
Pana pambazuka asubuh najiandaa kwa ajili ya mishe ilo nifikisha uuuuuwiiiiii daladala zimechoka, na zinajaza balaa, vituo havieleweki kama vile hakuna mkandarasi wa jiji
Je mkuu wa mkoa hayupo au hajifunzi kutoka kwa Makonda
Kimpango wako rudi ulikotoka huko hakuna chips
 
Kwan mm nimesema saa moja ama saa sita? Yy kaandika hakuna mabasi yanayo toboa ndio nikampa baadhi ya mabasi hayo. Hakuna sehemu nimeandika kuhusu mda.
Sio SAA Moja lakini. SAA sita.
 
Kwan mm nimesema saa moja ama saa sita? Yy kaandika hakuna mabasi yanayo toboa ndio nikampa baadhi ya mabasi hayo. Hakuna sehemu nimeandika kuhusu mda.
Alisema dar lux iliingia saa 1:23(moja dkk 23 usiku) inawezekana?
 
Acha kudanganya watu hapa wewe.kuna daladala mbovu hapa mjini toka lini?watu mna vimaneno vya kijinga jinga kweli sijui utapata nini kuwadanganya watu.mji huu una hiace kama mchanga na zote kwa %90 ni gari mpya.mashimo barabarani umeyaona wapi?kuna uchakavu wa barabara kidogo mwanzoni mwa pamba road na Lumumba road kutokana na mapolomoko ya maji ya mvua maana kuna mwinuko kidogo basi,na hazina hata point 4 za kilometer.sasa hayo mashimo ya mpaka wewe kuleta maneno hapa umeyaona wapi?
Ndo kitu nilitaka kumjibu bora umemjibu ww mimi lingefuatia bonge la tusi sema basi tu
Kaandika ili watu wajue yupo mwanza
 
Ndio maana nikaweka alama ya n.k nikimaanisha nakadhalika, ama hukuelewa mrembo?
Halafu hiyo Best Line si ndio yale mabasi yapo yapo tu yaani ata huwa sijaelewi kabisa. Ama siku hizi Kaleta mapya?
Best Line inatoboa maana ikifika Mwanza asubuhi inaunga mpaka Tarime.
B

Best line nayo iko vizuri saa tano mpk sita usiku hakuna kulala njiani
 
Habari zenu wadau
Ni siku yangu Ya pili hapa Rock City (Mwanza) kama inavyo julikana na wengi

Kwa wale wanao tamani kufika mwanza ambalo lisha tunukiwa sifa ya jiji miaka kadhaa sasa lakini jina hilo haliendani na sifa ambayo inapewa

Saa yangu inaonyesha ni saa 1:23 usiku ndani ya dar lux tunaingia mwanza, moyo unashtuka baada ya kuambiwa Nyegezi stand ndo mwisho wa safari, wakimaanisha tusha fika mwanza

Ni giza kila sehemu stand ya nyegezi kama dampo jamaaaani hakuna taa barabara imejaamashimo, taa za barabarani haziwaki

Tunatoka nyegezi twaelekea Nata ambako ndio mwisho wa gari jamaaaani city centre mashimo, viroba vya taka vimetupwa katikati ya barabara

Hiyo ndio mwanza unayo isikia
Pana pambazuka asubuh najiandaa kwa ajili ya mishe ilo nifikisha uuuuuwiiiiii daladala zimechoka, na zinajaza balaa, vituo havieleweki kama vile hakuna mkandarasi wa jiji
Je mkuu wa mkoa hayupo au hajifunzi kutoka kwa Makonda

Mkuu wewe ni kabila gani?? Tuanzie hapo!
 
Ni vyema ungetaja vigezo vinavyotumika manispaa kupewa hadhi ya jiji halafu utueleze kutokana na vigezo hivyo ni vigezo vip katika hivyo mwanza inavikosa. Vinginevyo utakuwa huna points unafurahisha jamii
 
Watanzania Tuna matatizo ... Mada ni JIJI au Muda ?
Wewe ndo una matatizo mkuu, sio sisi watz wote. REASON; hii inaitwa "impeachment of credibility of witness' evidence".

Ndo maana ukiwa mashaidi utakutana na maswali km balozi wa eneo lako anaitwa nani? n.k lakini kesi ni kumgonga kwa pikipiki na kumuumizi msafiri kwa miguu.

Basi gani ya kufika Mwz sa 1 jion (19hra) tokea jiji la Makonda?? Huoni kuna rise doubts??
 
Mtoa post usituchoshe ungekuja na gari yako tairi yenyewe huna unasema gari zimechoka huko Dar ndo kuna mpya acha ushamba we Fanya yaliyokupeleka usepe!!!
 
Back
Top Bottom