Somaiyo
Member
- Jul 1, 2022
- 92
- 176
Kuna tamko limetolewa na katibu mkuu MSONDE kuwalazimisha waalimu nchi nzima kuwafundisha wanafunzi waliomaliza darasa la Saba kuanzia saa nane na nusu mpaka saa kumi na nusu.
Muda wa kazi kwa mtumishi ni kuanzia saa mbili asubui mpaka saa TISA na NUSU. Baada ya MUDA huo unakuwa MUDA wa ziada na mwalimu au mtumishi anastahili kulipwa posho ya MUDA wa ziada.
Sasa hii kulazimisha waalimu kwa kutumia kauli ya MAELEKEZO kutoka juu kwamba waalimu woote wa sekondari nchi nzima wabaki kufanya kazi hiyo ni UOnevu kwa kundi hili la watumishi. Serikali tunaomba mlitolee ufafanuzi
Muda wa kazi kwa mtumishi ni kuanzia saa mbili asubui mpaka saa TISA na NUSU. Baada ya MUDA huo unakuwa MUDA wa ziada na mwalimu au mtumishi anastahili kulipwa posho ya MUDA wa ziada.
Sasa hii kulazimisha waalimu kwa kutumia kauli ya MAELEKEZO kutoka juu kwamba waalimu woote wa sekondari nchi nzima wabaki kufanya kazi hiyo ni UOnevu kwa kundi hili la watumishi. Serikali tunaomba mlitolee ufafanuzi