mzamifu
JF-Expert Member
- Mar 10, 2010
- 6,379
- 3,826
Hakuna ushahidi wowoteSalaam JF, hivi karibuni mh. rais alifanya ziara nchini kenya lengo likiwa kurejesha mahusiano ya kibiashara na kidiplomasia na kujenga zaidi ushirikiano baina ya hizi nchi ili kuipa uimara jumuiya ya afrika mashariki...