johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,984
- 142,002
Kenya yasema Ugonjwa wa Red Eye ulioripotiwa kusambaa kwa kasi nchini Tanzania na kuripotiwa Kesi zaidi ya 800 sasa umeyakumba maeneo ya Pwani ya nchi hiyo yakiwemo Mombasa na Kilifi
Hadi sasa zimeripotiwa Kesi zaidi ya 1000 wengi wao wakiwa wanafunzi wa Shule
Runinga ya Citizen imeonesha namna Mabasi ya Mwendokasi nchini Tanzania yanavyojaza Abiria kupita kiasi Wakati Huu wa mlipuko wa red eyes
Source: Citizen TV
Mlale Unono 😄
Hadi sasa zimeripotiwa Kesi zaidi ya 1000 wengi wao wakiwa wanafunzi wa Shule
Runinga ya Citizen imeonesha namna Mabasi ya Mwendokasi nchini Tanzania yanavyojaza Abiria kupita kiasi Wakati Huu wa mlipuko wa red eyes
Source: Citizen TV
Mlale Unono 😄