Tanzania kuizidi Kenya kabla ya mwaka 2025

Michael Uledi

Senior Member
Mar 29, 2023
132
322
Wasiwasi wa Wakenya wengi miaka miwili nyuma kuwa Serikali ya ya Tanzania Chini ya Rais, Samia Suluhu Hassan uenda ikapindua meza na kuwa TAIFA lenye Uchumi mkubwa dhidi ya Kenya kabla ya mwaka 2025.

Repoti ya Banki ya Dunia ya hivi karibuni inaonyesha Tanzania ndani ya miaka miwili imekuza GDP yake kwa USD 15 Bilioni na kufikia USD 85+ mwaka 2023 kutoka USD 69+ bilioni mwaka 2021.

Kenya inakadiliwa kuwa na GDP ya 117 USD bilioni mpaka mwaka 2023.Miradi mikubwa ya TanznIa chini ya Serikali ya awamu ya Sita inaifanya kuwa na uhakika wa kuifikia GDP ya Kenya kabla ya Mwaka 2025.

Mradi wa NLG pekee unatajwa kuja kuingiza Tsh Trilioni 16 kwa mwaka mmoja pekee,achilia SGR,Bwawa la Nyerere na Bomba la Mafuta ya Tanga -Hoima!

Pongezi nyingi kwa Rais Samia Suluhu Hassan,kazi kamba kwenye upotevu wa fedha za Umma utakuwa umemaliza mchezo kabisa!
 
Wasiwasi wa Wakenya wengi miaka miwili nyuma kuwa Serikali ya ya Tanzania Chini ya Rais, Samia Suluhu Hassan uenda ikapindua meza na kuwa TAIFA lenye Uchumi mkubwa dhidi ya Kenya kabla ya mwaka 2025.

Repoti ya Banki ya Dunia ya hivi karibuni inaonyesha Tanzania ndani ya miaka miwili imekuza GDP yake kwa USD 15 Bilioni na kufikia USD 85+ mwaka 2023 kutoka USD 69+ bilioni mwaka 2021.

Kenya inakadiliwa kuwa na GDP ya 117 USD bilioni mpaka mwaka 2023.Miradi mikubwa ya TanznIa chini ya Serikali ya awamu ya Sita inaifanya kuwa na uhakika wa kuifikia GDP ya Kenya kabla ya Mwaka 2025.

Mradi wa NLG pekee unatajwa kuja kuingiza Tsh Trilioni 16 kwa mwaka mmoja pekee,achilia SGR,Bwawa la Nyerere na Bomba la Mafuta ya Tanga -Hoima!

Pongezi nyingi kwa Rais Samia Suluhu Hassan,kazi kamba kwenye upotevu wa fedha za Umma utakuwa umemaliza mchezo kabisa!

Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
Watakwambia Nchi imesimama hakuna kitu 😁😁
 
Watanzania tuna fikra duni sana. Sasa hata kama GDP ya Tanzania ikiwa kubwa kuliko ya Kenya, ndiyo tutakuwa tumepata nini? Hivi Tanzania ipo kwenye mashindano na Kenya? Mshindani wetu mkubwa ni umaskini wa wananchi, siyo Kenya. Kenya na Tanzania, zote zinapambana kujikwamua, hakuna aliye kwenye hali ya mafanikio makubwa.

Tanzania ina watu wangapi, na Kenya ina watu wangapi? Tanzania ina eneo la ukubwa gani, na Kenya ina eneo la ukubwa gani?

Tanzania ina watu 61m, GDP $85 bilioni. Per capita $1,393

Kenya population 53m, GDP $117 bilioni. Per capita $2,207

Katika uhalisia, Tanzania kuizidi Kenya, inatakiwa iwe na GDP ya $2,207 x 61m = 134.7 billion. Halafu Kenya iwe imesimama hapo hapo. Hilo haliwezi kutokea kwa muda mfupi.
 
Achana na hayo ma gdp, vp hali ya maisha kwa ujumla kwa wananchi itakuaje? Kama yatakua hvi hivi naomba mwambie hata asijiangaishe na chochote.
 
Nampongeza rais wetu, keep on, Tanzania na resources zetu hatukutakiwa kuburuzwa na Kenya kiuchumi, Tanzania should and must be number one!, kwa East Africa pengine na central Africa except Nigeria and DRC.
 
Wasiwasi wa Wakenya wengi miaka miwili nyuma kuwa Serikali ya ya Tanzania Chini ya Rais, Samia Suluhu Hassan uenda ikapindua meza na kuwa TAIFA lenye Uchumi mkubwa dhidi ya Kenya kabla ya mwaka 2025.

Repoti ya Banki ya Dunia ya hivi karibuni inaonyesha Tanzania ndani ya miaka miwili imekuza GDP yake kwa USD 15 Bilioni na kufikia USD 85+ mwaka 2023 kutoka USD 69+ bilioni mwaka 2021.

Kenya inakadiliwa kuwa na GDP ya 117 USD bilioni mpaka mwaka 2023.Miradi mikubwa ya TanznIa chini ya Serikali ya awamu ya Sita inaifanya kuwa na uhakika wa kuifikia GDP ya Kenya kabla ya Mwaka 2025.

Mradi wa NLG pekee unatajwa kuja kuingiza Tsh Trilioni 16 kwa mwaka mmoja pekee,achilia SGR,Bwawa la Nyerere na Bomba la Mafuta ya Tanga -Hoima!

Pongezi nyingi kwa Rais Samia Suluhu Hassan,kazi kamba kwenye upotevu wa fedha za Umma utakuwa umemaliza mchezo kabisa!

Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
Acha uongo,kuizidi Kenya ni labda 2028-2030 huko kulingana na projections za IMF kama inavyoonekana hapa.

 
Nampongeza rais wetu, keep on, Tanzania na resources zetu hatukutakiwa kuburuzwa na Kenya kiuchumi, Tanzania should and must be number one!, kwa East Africa pengine na central Africa except Nigeria and DRC.
Kazi kubwa imefanyika ila kufikia Ilipo Kenya Bado tuna miaka 7 zaidi ijayo..

Mwendazake ndio aliharibu Kasi ya kukua Kwa uchumi ndio maana tumechelewa
 
Ni kweli watu wamepiga 4 trillion lazima tuwapite wakenya maana hela ni nyingi sana mtaani
 
Mlishawahi kusema Bukoba kuipita Dubai kabla ya 2017....

Kiko wapi sasa ??

NCHI HAKUNA VIONGOZI WA KUFANYA HAYO.
 
Back
Top Bottom