Nipe namna nzuri ya kuitikia mitongozo

Nipe namna nzuri ya kuitikia mitongozo

Acha utani bana!!! Kutokujua jinsi ya kuitikia mitongozo ndo kukufanye uwe bikra mpaka leo??? wanaume wetu mbona hawaitaji essay, kumrembulia macho tu ni jibu tosha na kitu kinafunguliwa!!!
 
emoji13.png
emoji13.png
emoji13.png
emoji13.png
emoji13.png
mkuu fursa kama hizi ni muhimu kuzifatilia maana ni adimu kwenye kizazi cha sasa hivi
Nyingine ni za maneno ya mdomoni tu
 
Wakuu hbrn za kazi.
Kwanza nimshukuru Mh. Rais kwa kumuachia huru Ney Wa mitego.

Sasa niende kwenye mada, naomba mtaalum mmoja anifundishe kuitikia mitongozo toka kwa men. Nimekuwa kwenye wakati mgumu kuitikia mitongozo kitu kilichofanya kubaki bikra mpaka Leo.

Naona kama wanaonitongoza hawajui vile. kila anayenitongoza huwa nahisi amekosea.
Naomba wataalum mnisaidie namna nzuri ya kuitikia mitongozo.
Being bright is about physics, Love is about biology but sex is nothing but chemistry. No reaction no sparks not worth it unless there are other benefits.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom