Nipe namna nzuri ya kuitikia mitongozo

Nipe namna nzuri ya kuitikia mitongozo

Wakuu hbrn za kazi.
Kwanza nimshukuru Mh. Rais kwa kumuachia huru Ney Wa mitego.

Sasa niende kwenye mada, naomba mtaalum mmoja anifundishe kuitikia mitongozo toka kwa men. Nimekuwa kwenye wakati mgumu kuitikia mitongozo kitu kilichofanya kubaki bikra mpaka Leo.

Naona kama wanaonitongoza hawajui vile. kila anayenitongoza huwa nahisi amekosea.
Naomba wataalum mnisaidie namna nzuri ya kuitikia mitongozo.
njoo kwangu nikutongoze uone kama hautaitkia
 
Huna mvuto labda ungeshapata hata wa kkupigia magot au kutania ikawa kweli
 
Duh vzuri,,inawezekana wanakutongoza sana mpk umekinah na hawajakuvutia na swaga zao,,,ila bahat mbaya ukitongozwa huku unajua jamaa anataka mashine yako utamkataa kiurahis ila dawa yako ww kutongozwa kiutan utani mpka chu** utavua kiutan utani...hvyo hvyo
 
Wakuu hbrn za kazi.
Kwanza nimshukuru Mh. Rais kwa kumuachia huru Ney Wa mitego.

Sasa niende kwenye mada, naomba mtaalum mmoja anifundishe kuitikia mitongozo toka kwa men. Nimekuwa kwenye wakati mgumu kuitikia mitongozo kitu kilichofanya kubaki bikra mpaka Leo.

Naona kama wanaonitongoza hawajui vile. kila anayenitongoza huwa nahisi amekosea.
Naomba wataalum mnisaidie namna nzuri ya kuitikia mitongozo.


Dah hii neema, uko bikra weye? Unapatikana wapi tuzungumze wakati wa lunch. Tuwasiliane basi.
 
Wakuu hbrn za kazi.
Kwanza nimshukuru Mh. Rais kwa kumuachia huru Ney Wa mitego.

Sasa niende kwenye mada, naomba mtaalum mmoja anifundishe kuitikia mitongozo toka kwa men. Nimekuwa kwenye wakati mgumu kuitikia mitongozo kitu kilichofanya kubaki bikra mpaka Leo.

Naona kama wanaonitongoza hawajui vile. kila anayenitongoza huwa nahisi amekosea.
Naomba wataalum mnisaidie namna nzuri ya kuitikia mitongozo.
Million 15 tu,
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom