miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,821
- 48,968
mtongoze ila unitumie hela kwanza babymiss chagga vp nikamtongoze... au nivunge!
mtongoze ila unitumie hela kwanza babymiss chagga vp nikamtongoze... au nivunge!
Eee DaaaUmeonaeee
Sikiliza WIMBO na si NYIMBO.... wimbo ni umoja na nyimbo ni uwingiSikiliza nyimbo ya Ney Hela
Upo maeneo gani nije nikutongoze coz Mimi nina PhD ya kujitetea kwa mamanze na bila shaka hautakawia ku-respondWakuu hbrn za kazi.
Kwanza nimshukuru Mh. Rais kwa kumuachia huru Ney Wa mitego.
Sasa niende kwenye mada, naomba mtaalum mmoja anifundishe kuitikia mitongozo toka kwa men. Nimekuwa kwenye wakati mgumu kuitikia mitongozo kitu kilichofanya kubaki bikra mpaka Leo.
Naona kama wanaonitongoza hawajui vile. kila anayenitongoza huwa nahisi amekosea.
Naomba wataalum mnisaidie namna nzuri ya kuitikia mitongozo.
Mkuu bikra zipo nying, huenda anamanisha mbayo ww hujaiuliziaCleopatra mpka leo iyo bikra haijatolewa mkuu?
Kama unahisi wanakosea ina maana we ni mtaalamu unajua inavyotakiwa,basi watongoze wewe hao wanaume!Wakuu hbrn za kazi.
Kwanza nimshukuru Mh. Rais kwa kumuachia huru Ney Wa mitego.
Sasa niende kwenye mada, naomba mtaalum mmoja anifundishe kuitikia mitongozo toka kwa men. Nimekuwa kwenye wakati mgumu kuitikia mitongozo kitu kilichofanya kubaki bikra mpaka Leo.
Naona kama wanaonitongoza hawajui vile. kila anayenitongoza huwa nahisi amekosea.
Naomba wataalum mnisaidie namna nzuri ya kuitikia mitongozo.
hahahhahaha in hehe voice from mkwawa landWenzako wakitongozwa huwa wanaitikia hivi "NIANGUSAGE TU U MWENSIO...ISAMBI SOTE NI SA KWAKO".