Nipe namna nzuri ya kuitikia mitongozo

Nipe namna nzuri ya kuitikia mitongozo

haaa haaaaa wanakutongozaje mpaka uhisi wanakose, usikute wewe ushasikia kutolewa Bikra mara ya kwanza inauma na damu inatoka uko na hofu ndio maana unaona kama wanakoseaaaa vileee
 
Wakuu hbrn za kazi.
Kwanza nimshukuru Mh. Rais kwa kumuachia huru Ney Wa mitego.

Sasa niende kwenye mada, naomba mtaalum mmoja anifundishe kuitikia mitongozo toka kwa men. Nimekuwa kwenye wakati mgumu kuitikia mitongozo kitu kilichofanya kubaki bikra mpaka Leo.

Naona kama wanaonitongoza hawajui vile. kila anayenitongoza huwa nahisi amekosea.
Naomba wataalum mnisaidie namna nzuri ya kuitikia mitongozo.
ungekua na bikra usingeandika mada hii wewe tayari bwaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Wakuu hbrn za kazi.
Kwanza nimshukuru Mh. Rais kwa kumuachia huru Ney Wa mitego.

Sasa niende kwenye mada, naomba mtaalum mmoja anifundishe kuitikia mitongozo toka kwa men. Nimekuwa kwenye wakati mgumu kuitikia mitongozo kitu kilichofanya kubaki bikra mpaka Leo.

Naona kama wanaonitongoza hawajui vile. kila anayenitongoza huwa nahisi amekosea.
Naomba wataalum mnisaidie namna nzuri ya kuitikia mitongozo.
Lete mistari ambayo umekutana nayo tukusaidie majbu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom