miss chagga vp nikamtongoze... au nivunge!ha haha shauri yako
Ni hivii..wanaokutongoza hawana hela ndo maana huwez kuitika.Wakuu hbrn za kazi.
Kwanza nimshukuru Mh. Rais kwa kumuachia huru Ney Wa mitego.
Sasa niende kwenye mada, naomba mtaalum mmoja anifundishe kuitikia mitongozo toka kwa men. Nimekuwa kwenye wakati mgumu kuitikia mitongozo kitu kilichofanya kubaki bikra mpaka Leo.
Naona kama wanaonitongoza hawajui vile. kila anayenitongoza huwa nahisi amekosea.
Naomba wataalum mnisaidie namna nzuri ya kuitikia mitongozo.
Me nakupenda tyuu fanya ukubali Hamna jinsi Sasa Daa ntakosa amani ukinitolea Nje cleopatra2Wakuu hbrn za kazi.
Kwanza nimshukuru Mh. Rais kwa kumuachia huru Ney Wa mitego.
Sasa niende kwenye mada, naomba mtaalum mmoja anifundishe kuitikia mitongozo toka kwa men. Nimekuwa kwenye wakati mgumu kuitikia mitongozo kitu kilichofanya kubaki bikra mpaka Leo.
Naona kama wanaonitongoza hawajui vile. kila anayenitongoza huwa nahisi amekosea.
Naomba wataalum mnisaidie namna nzuri ya kuitikia mitongozo.


..Ukiingia kichwa kichwa inakula kwakoPromo nyingi
Naanza kuingiaje kwa mfano emmyUkiingia kichwa kichwa inakula kwako
Hahahahaa! Unaweza ukashawishika na jinsi anavyojielezea nawe ukaona si mbaya kujitosa.Naanza kuingiaje kwa mfano emmy
MmhHahahahaa! Unaweza ukashawishika na jinsi anavyojielezea nawe ukaona si mbaya kujitosa.