Nipe namna nzuri ya kuitikia mitongozo

Nipe namna nzuri ya kuitikia mitongozo

Hahaa bas subr uje utafte mme bdae..
Mtu akisema nakupenda inatosha unataka apambe ndo mana mnadanganywa
 
Kweli, maana ilibidi nirudi kucheki profile kuona nini ni nini, so kwa hizo posts nimejiridhisha kwamba anamaanisha.

Unless ametengeneza trend ili kuja na hii, kitu ambacho naamini hajafanya, she is real.
hapo ndio ninapokukubali
 
Bikra ipi unayoizungumzia hapa!? Kwani wewe unataka utongozwe vipi ili uone mtongozaji anajua kutongoza!?

Wakuu hbrn za kazi.
Kwanza nimshukuru Mh. Rais kwa kumuachia huru Ney Wa mitego.

Sasa niende kwenye mada, naomba mtaalum mmoja anifundishe kuitikia mitongozo toka kwa men. Nimekuwa kwenye wakati mgumu kuitikia mitongozo kitu kilichofanya kubaki bikra mpaka Leo.

Naona kama wanaonitongoza hawajui vile. kila anayenitongoza huwa nahisi amekosea.
Naomba wataalum mnisaidie namna nzuri ya kuitikia mitongozo.
 
Umetongozwa na wavulana ndio maana unaona kama wanakukosea! Lakini ukija kukutana na wanaume kama sisi hutoweza kuchomoa hata kwa dawa!
 
Wakuu hbrn za kazi.
Kwanza nimshukuru Mh. Rais kwa kumuachia huru Ney Wa mitego.

Sasa niende kwenye mada, naomba mtaalum mmoja anifundishe kuitikia mitongozo toka kwa men. Nimekuwa kwenye wakati mgumu kuitikia mitongozo kitu kilichofanya kubaki bikra mpaka Leo.

Naona kama wanaonitongoza hawajui vile. kila anayenitongoza huwa nahisi amekosea.
Naomba wataalum mnisaidie namna nzuri ya kuitikia mitongozo.
Kama mbele uko bikra sawa,hebu tupe uzoefu wako wa nyuma.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom