ZENITH
JF-Expert Member
- Feb 5, 2012
- 926
- 656
Funga yenu pia iendane na uwezo wa kuishinda tamaa na majaribu.Hamjakatazwa kula kilichokatazwa ni kula hadharani mchana wa Ramadhani tii sheria bila shuruti huwezi baki kwenu tanganyika
Funga yenu pia iendane na uwezo wa kuishinda tamaa na majaribu.Hamjakatazwa kula kilichokatazwa ni kula hadharani mchana wa Ramadhani tii sheria bila shuruti huwezi baki kwenu tanganyika
Wewe wacha porojo hizo sheria zipo znz wewe mkenya inakuuma nini ? Tii sheria bila shuruti huwezi baki kwenu KenyaNiliwahi kuishi Zanzibar kipindi cha Ramadan nilichukia sana, yaani Nilijikuta nachukia Uislamu kishenzi, mnalazimisha mambo yenu kwa watu wasioamini hayo mambo ya muarabu.
Mkuu unasemaje ni waislamu wakati sheria ishaanza kufuata mkondoMmmhhh hii sasa ni hali mbaya, so hata ukiwa Mkristo lazima ukishikwa unakula unafungwa ndani? Sidhani, labda waislam tu
Kwa znz ni kosa la jinai kula hadharani mchana wa Ramadhani tii sheria bila shuruti huwezi baki kwenu tanganyikaKuna mambo yanachekesha
Nawaza hapa polisi wanakamata mtu anakula,katika mahojiano mtuhumiwa anaulizwa kwanini umekula wakati wenzako wamefunga?seriously?
Mtu kala zake hadharani,kaamua yeye asifunge kwa sababu zake na Mungu wake...kwa nini mwingine ateseke?kwa inavyoonekana Zanzibar sio sehemu ya uhuru
Kwamba wengine wakila hadharani nyie automatical mnafungua ama? Mbona ni dini ya shuruti sana?Hamjakatazwa kula kilichokatazwa ni kula hadharani mchana wa Ramadhani tii sheria bila shuruti huwezi baki kwenu tanganyika
Inasikitisha sana.Taifa la Mungu wakati tukijiandaa kusherekea Pasaka siku ya jumapili. Wakirsto waliopo Zanzibar wapo kwenye mtihani mkubwa.
Zanzibar kwa sasa ukila mchana unakamatwa na polisi na kuwekwa ndani.
Je itakuwaje kwenye siku ya Pasaka ambayo inatakiwa waumini wachinje na kula na kusherekea pamoja?
Wameambiwa watu wasile hadharani je kwenye hadhara ni wapi? Ukipika pilau lako unawekwa ndani?
Tumeshuudia watu wamekamatwa sababu wanasafirisha chakula walichoagiza kwa siri kutumia bodaboda hawakuwa wakila barabarani, je sasa hadharani ni wapi?
Ukiwa nyumba za kupanga za kushea huduma je hutakiwi kupika?
Watanzania wenzetu wapo kwenye mtihani mkubwa sana kipindi hiki na kosa lao ni moja tu kutokuwa waamini wa islamic religion. Tuwaombee maana hawana mtetezi huko.
Kuna uzi upo humu mtu akifika na kutaka kuendesha gari Zanzibar na yeye ni wa kutoka bara lazima alipe 20k za kitanzia ili kuapply kibali kuruhusiwa kuendesha gari sasa hapo hii sio nchi nyingine?Zanzibar ni sehemu ya Tanzania Kwa baadhi ya Mambo.
Wewe wacha porojo hizo sheria zipo kabla wewe hujazaliwa tii sheria bila shuruti huwezi baki kwenu tanganyikaTusubiri safari hii vimegongana Ramadhani na pasaka
Wakristo washerehekee halafu wakamwatwe tuone
Zanzibar kama haijaingizwa kwenye nchi zinazovunja haki za binadamu na kutangazwa hakufai kwa watalii kwenda
After all watalii wengi wanaotembelea Zanzibar ni Wakristo.Ngoja tuone Pasaka Wakristo wakisherehekea pasaka yao tuone polisi Zanzibar itawachukulia hatua gani wakristo wakiwa katika kusherehekea shereje yao muhimu ya kidini
Wakristo huwa wanaenda kula sikukuu zao vijijini kwao. Na wao warudi bara.Taifa la Mungu wakati tukijiandaa kusherekea Pasaka siku ya jumapili. Wakirsto waliopo Zanzibar wapo kwenye mtihani mkubwa.
Zanzibar kwa sasa ukila mchana unakamatwa na polisi na kuwekwa ndani.
Je itakuwaje kwenye siku ya Pasaka ambayo inatakiwa waumini wachinje na kula na kusherekea pamoja?
Wameambiwa watu wasile hadharani je kwenye hadhara ni wapi? Ukipika pilau lako unawekwa ndani?
Tumeshuudia watu wamekamatwa sababu wanasafirisha chakula walichoagiza kwa siri kutumia bodaboda hawakuwa wakila barabarani, je sasa hadharani ni wapi?
Ukiwa nyumba za kupanga za kushea huduma je hutakiwi kupika?
Watanzania wenzetu wapo kwenye mtihani mkubwa sana kipindi hiki na kosa lao ni moja tu kutokuwa waamini wa islamic religion. Tuwaombee maana hawana mtetezi huko.
Hapana Idara maalumu sio TISS..Idara maaulum ndio TISS kwa Zanzibar.
Zamani bara enzi za TANU na chama kimoja TISS ilikuwa ndani ya ofisi ya rais chini ya mwamvuli wa kuitwa tawi maalum muda huo rais pia akawa ni mwenyekiti wa chama.
Leo hii wako chini ya ofisi ile ile wanatoa ulinzi hadi sasa kwa makada wa CCM .
Katiba mpya ni muhimu sana.
Uislam sio Imani, ni Mfumo tu wa maisha. Hawajui na Wala hawana Imani yoyote.Kama jaribu la kuvumilia jirani yako akila hadharani linakushinda utaweza kuvumilia ukiona upaja wa pisi kali? Jaribu dogo tu linateteresha imani yako.
Leo ni Ijumaa kuu,waktisto hawali nyamaAmani ya Bwana wetu Yesu Kristo iwe pamoja nanyi.
Moyo wangu unaugua sana kwa sababu ya Jamii ya Wakristo wanaoishi katika visiwa vya Zanzibar.
Nawaza namna watakavyokula Pasaka. Ikumbukwe kuwa, Pasaka ndicho kilele cha Ukristo na kwa asili, Pasaka ni siku ya kuchinja na kula kusherehekea ukombozi wa Mwanadamu uliopatikana kwa Kifo cha Yesu Msalabani. Hivyo, kuzuiwa kula ni kuzuia maadhimisho ya kipasaka.
Vita ya imani haijawai kuwa ndogo, mda ni mwalimTaifa la Mungu wakati tukijiandaa kusherekea Pasaka siku ya jumapili. Wakirsto waliopo Zanzibar wapo kwenye mtihani mkubwa.
Zanzibar kwa sasa ukila mchana unakamatwa na polisi na kuwekwa ndani.
Je itakuwaje kwenye siku ya Pasaka ambayo inatakiwa waumini wachinje na kula na kusherekea pamoja?
Wameambiwa watu wasile hadharani je kwenye hadhara ni wapi? Ukipika pilau lako unawekwa ndani?
Tumeshuudia watu wamekamatwa sababu wanasafirisha chakula walichoagiza kwa siri kutumia bodaboda hawakuwa wakila barabarani, je sasa hadharani ni wapi?
Ukiwa nyumba za kupanga za kushea huduma je hutakiwi kupika?
Watanzania wenzetu wapo kwenye mtihani mkubwa sana kipindi hiki na kosa lao ni moja tu kutokuwa waamini wa islamic religion. Tuwaombee maana hawana mtetezi huko.
Hayo ndiyo maelekezo ya yule SHETANI MKUBWA ZAIDI ALLAH. Na bado hawa Waislam hawataishia hapo tu, kile mnachofikiriaga ni ISIS tu ndiyo hufanya-KUCHINJA WATU na hawa watafika huko; tena inakuja kwa haraka mno kuliko tulivyotarajiaTaifa la Mungu wakati tukijiandaa kusherekea Pasaka siku ya jumapili. Wakirsto waliopo Zanzibar wapo kwenye mtihani mkubwa.
Zanzibar kwa sasa ukila mchana unakamatwa na polisi na kuwekwa ndani.
Je itakuwaje kwenye siku ya Pasaka ambayo inatakiwa waumini wachinje na kula na kusherekea pamoja?
Wameambiwa watu wasile hadharani je kwenye hadhara ni wapi? Ukipika pilau lako unawekwa ndani?
Tumeshuudia watu wamekamatwa sababu wanasafirisha chakula walichoagiza kwa siri kutumia bodaboda hawakuwa wakila barabarani, je sasa hadharani ni wapi?
Ukiwa nyumba za kupanga za kushea huduma je hutakiwi kupika?
Watanzania wenzetu wapo kwenye mtihani mkubwa sana kipindi hiki na kosa lao ni moja tu kutokuwa waamini wa islamic religion. Tuwaombee maana hawana mtetezi huko.
Mbona wagumu nyinyi kuelewa kwa kua ni pasaka ndio ule hadharani mchana wa Ramadhani wakati znz wameshasema ni kosa la jinai kula hadharani mchana wa Ramadhani nyie vipi ?Hata Pasaka mkuu hakuna kula hadharani ndio ujue Kuna watu wamewehuka na dini? Funga Iko kujionyesha mbele za watu kuliko kushinda vishawishi.
Na nyie mnaotokwa na mate mkiona wenzenu wakila. Wanafki na Waroho tu nyie mabwegeJibu hoja.Hakuna mtu anayekaa nakufikiria ujinga kama mlionao uko kwenu.mnawaza kula tu hadi mnasumbua watu.