Nini hatima ya Wakristo walio Zanzibar kwenye sherehe za Pasaka baada ya zuio la kula mchana wakati huu wa Ramadhan?

Niliwahi kuishi Zanzibar kipindi cha Ramadan nilichukia sana, yaani Nilijikuta nachukia Uislamu kishenzi, mnalazimisha mambo yenu kwa watu wasioamini hayo mambo ya muarabu.
Wewe wacha porojo hizo sheria zipo znz wewe mkenya inakuuma nini ? Tii sheria bila shuruti huwezi baki kwenu Kenya
 
Mmmhhh hii sasa ni hali mbaya, so hata ukiwa Mkristo lazima ukishikwa unakula unafungwa ndani? Sidhani, labda waislam tu
Mkuu unasemaje ni waislamu wakati sheria ishaanza kufuata mkondo
 
Kuna mambo yanachekesha
Nawaza hapa polisi wanakamata mtu anakula,katika mahojiano mtuhumiwa anaulizwa kwanini umekula wakati wenzako wamefunga?seriously?

Mtu kala zake hadharani,kaamua yeye asifunge kwa sababu zake na Mungu wake...kwa nini mwingine ateseke?kwa inavyoonekana Zanzibar sio sehemu ya uhuru
Kwa znz ni kosa la jinai kula hadharani mchana wa Ramadhani tii sheria bila shuruti huwezi baki kwenu tanganyika
 
Hamjakatazwa kula kilichokatazwa ni kula hadharani mchana wa Ramadhani tii sheria bila shuruti huwezi baki kwenu tanganyika
Kwamba wengine wakila hadharani nyie automatical mnafungua ama? Mbona ni dini ya shuruti sana?
 
Taifa la Mungu wakati tukijiandaa kusherekea Pasaka siku ya jumapili. Wakirsto waliopo Zanzibar wapo kwenye mtihani mkubwa.

Zanzibar kwa sasa ukila mchana unakamatwa na polisi na kuwekwa ndani.

Je itakuwaje kwenye siku ya Pasaka ambayo inatakiwa waumini wachinje na kula na kusherekea pamoja?

Wameambiwa watu wasile hadharani je kwenye hadhara ni wapi? Ukipika pilau lako unawekwa ndani?

Tumeshuudia watu wamekamatwa sababu wanasafirisha chakula walichoagiza kwa siri kutumia bodaboda hawakuwa wakila barabarani, je sasa hadharani ni wapi?

Ukiwa nyumba za kupanga za kushea huduma je hutakiwi kupika?
Watanzania wenzetu wapo kwenye mtihani mkubwa sana kipindi hiki na kosa lao ni moja tu kutokuwa waamini wa islamic religion. Tuwaombee maana hawana mtetezi huko.
Inasikitisha sana.
 
Zanzibar ni sehemu ya Tanzania Kwa baadhi ya Mambo.
Kuna uzi upo humu mtu akifika na kutaka kuendesha gari Zanzibar na yeye ni wa kutoka bara lazima alipe 20k za kitanzia ili kuapply kibali kuruhusiwa kuendesha gari sasa hapo hii sio nchi nyingine?
 
Tusubiri safari hii vimegongana Ramadhani na pasaka

Wakristo washerehekee halafu wakamwatwe tuone

Zanzibar kama haijaingizwa kwenye nchi zinazovunja haki za binadamu na kutangazwa hakufai kwa watalii kwenda

After all watalii wengi wanaotembelea Zanzibar ni Wakristo.Ngoja tuone Pasaka Wakristo wakisherehekea pasaka yao tuone polisi Zanzibar itawachukulia hatua gani wakristo wakiwa katika kusherehekea shereje yao muhimu ya kidini
Wewe wacha porojo hizo sheria zipo kabla wewe hujazaliwa tii sheria bila shuruti huwezi baki kwenu tanganyika
 
Taifa la Mungu wakati tukijiandaa kusherekea Pasaka siku ya jumapili. Wakirsto waliopo Zanzibar wapo kwenye mtihani mkubwa.

Zanzibar kwa sasa ukila mchana unakamatwa na polisi na kuwekwa ndani.

Je itakuwaje kwenye siku ya Pasaka ambayo inatakiwa waumini wachinje na kula na kusherekea pamoja?

Wameambiwa watu wasile hadharani je kwenye hadhara ni wapi? Ukipika pilau lako unawekwa ndani?

Tumeshuudia watu wamekamatwa sababu wanasafirisha chakula walichoagiza kwa siri kutumia bodaboda hawakuwa wakila barabarani, je sasa hadharani ni wapi?

Ukiwa nyumba za kupanga za kushea huduma je hutakiwi kupika?
Watanzania wenzetu wapo kwenye mtihani mkubwa sana kipindi hiki na kosa lao ni moja tu kutokuwa waamini wa islamic religion. Tuwaombee maana hawana mtetezi huko.
Wakristo huwa wanaenda kula sikukuu zao vijijini kwao. Na wao warudi bara.
Hata Xmas utawaona wanaondoka Dar kwenda vijijini kwao
 
Idara maaulum ndio TISS kwa Zanzibar.

Zamani bara enzi za TANU na chama kimoja TISS ilikuwa ndani ya ofisi ya rais chini ya mwamvuli wa kuitwa tawi maalum muda huo rais pia akawa ni mwenyekiti wa chama.

Leo hii wako chini ya ofisi ile ile wanatoa ulinzi hadi sasa kwa makada wa CCM .

Katiba mpya ni muhimu sana.
Hapana Idara maalumu sio TISS..
Idara maalumu Ni JKU,KMKM, chuo cha mafunzo(Jeshi la magerza) N.k
 
Kama jaribu la kuvumilia jirani yako akila hadharani linakushinda utaweza kuvumilia ukiona upaja wa pisi kali? Jaribu dogo tu linateteresha imani yako.
Uislam sio Imani, ni Mfumo tu wa maisha. Hawajui na Wala hawana Imani yoyote.
 
Amani ya Bwana wetu Yesu Kristo iwe pamoja nanyi.
Moyo wangu unaugua sana kwa sababu ya Jamii ya Wakristo wanaoishi katika visiwa vya Zanzibar.
Nawaza namna watakavyokula Pasaka. Ikumbukwe kuwa, Pasaka ndicho kilele cha Ukristo na kwa asili, Pasaka ni siku ya kuchinja na kula kusherehekea ukombozi wa Mwanadamu uliopatikana kwa Kifo cha Yesu Msalabani. Hivyo, kuzuiwa kula ni kuzuia maadhimisho ya kipasaka.
Leo ni Ijumaa kuu,waktisto hawali nyama
 
Taifa la Mungu wakati tukijiandaa kusherekea Pasaka siku ya jumapili. Wakirsto waliopo Zanzibar wapo kwenye mtihani mkubwa.

Zanzibar kwa sasa ukila mchana unakamatwa na polisi na kuwekwa ndani.

Je itakuwaje kwenye siku ya Pasaka ambayo inatakiwa waumini wachinje na kula na kusherekea pamoja?

Wameambiwa watu wasile hadharani je kwenye hadhara ni wapi? Ukipika pilau lako unawekwa ndani?

Tumeshuudia watu wamekamatwa sababu wanasafirisha chakula walichoagiza kwa siri kutumia bodaboda hawakuwa wakila barabarani, je sasa hadharani ni wapi?

Ukiwa nyumba za kupanga za kushea huduma je hutakiwi kupika?
Watanzania wenzetu wapo kwenye mtihani mkubwa sana kipindi hiki na kosa lao ni moja tu kutokuwa waamini wa islamic religion. Tuwaombee maana hawana mtetezi huko.
Vita ya imani haijawai kuwa ndogo, mda ni mwalim
 
Mbona Answar Sunna wanaposwali Eid na kufungua na kula siku Moja kabla ya wengine, Huwa hawapigwi viboko?!
 
Taifa la Mungu wakati tukijiandaa kusherekea Pasaka siku ya jumapili. Wakirsto waliopo Zanzibar wapo kwenye mtihani mkubwa.

Zanzibar kwa sasa ukila mchana unakamatwa na polisi na kuwekwa ndani.

Je itakuwaje kwenye siku ya Pasaka ambayo inatakiwa waumini wachinje na kula na kusherekea pamoja?

Wameambiwa watu wasile hadharani je kwenye hadhara ni wapi? Ukipika pilau lako unawekwa ndani?

Tumeshuudia watu wamekamatwa sababu wanasafirisha chakula walichoagiza kwa siri kutumia bodaboda hawakuwa wakila barabarani, je sasa hadharani ni wapi?

Ukiwa nyumba za kupanga za kushea huduma je hutakiwi kupika?
Watanzania wenzetu wapo kwenye mtihani mkubwa sana kipindi hiki na kosa lao ni moja tu kutokuwa waamini wa islamic religion. Tuwaombee maana hawana mtetezi huko.
Hayo ndiyo maelekezo ya yule SHETANI MKUBWA ZAIDI ALLAH. Na bado hawa Waislam hawataishia hapo tu, kile mnachofikiriaga ni ISIS tu ndiyo hufanya-KUCHINJA WATU na hawa watafika huko; tena inakuja kwa haraka mno kuliko tulivyotarajia
ALLAH NI SHETANI JAMANI MJUE HILO
 
Hata Pasaka mkuu hakuna kula hadharani ndio ujue Kuna watu wamewehuka na dini? Funga Iko kujionyesha mbele za watu kuliko kushinda vishawishi.
Mbona wagumu nyinyi kuelewa kwa kua ni pasaka ndio ule hadharani mchana wa Ramadhani wakati znz wameshasema ni kosa la jinai kula hadharani mchana wa Ramadhani nyie vipi ?
 
Sijui Afrika Kuna ujuha gani?Babu zetu walikuwa na dini zao ata kabla ya hizi tunazoona sisi Ndo tunamjua mungu zaidi,na waliishi vizuri tu bila ubaguzi.Hizi dini zimeletwa na wageni siyo zetu kwa nini zitutenganishe. Waliofanya dhuluma hiyo Wana matatizo au pengine hawajui mafundisho vizuri hakuna dini inayoleta utengano au kuona wewe ni Bora kwa dini yako kuliko mwingine,mbele ya mungu watu wote ni sawa Mimi navyoelewa. Mimi mtu mwenye msinamamo mkali wa dini sitaki ata kuwa nae karibu ni shida.
 
Sijui Afrika Kuna ujuha gani?Babu zetu walikuwa na dini zao ata kabla ya hizi tunazoona sisi Ndo tunamjua mungu zaidi,na waliishi vizuri tu bila ubaguzi.Hizi dini zimeletwa na wageni siyo zetu kwa nini zitutenganishe. Waliofanya dhuluma hiyo Wana matatizo au pengine hawajui mafundisho vizuri hakuna dini inayoleta utengano au kuona wewe ni Bora kwa dini yako kuliko mwingine,mbele ya mungu watu wote ni sawa Mimi navyoelewa. Mimi mtu mwenye msinamamo mkali wa dini sitaki ata kuwa nae karibu ni shida.
 
Back
Top Bottom