Uko sahihi sana,ukiangalia idadi ya watu wanaovaa barakoa na kutumia sanitizer na kufuata masharti ya social distancing ni wachache mno,hii ni kuonyesha hao wengi ambao hawafuati masharti ni kuwa huko kwenye familia/jamii zao wanakotoka cases ni chache au hakuna kabisa,hakuna mtu ambaye angeona watu wanaendelea kufa/kupukutika halafu asifuate masharti,kwahiyo kwa jinsi hali ilivyo ni almost kama umeisha.
Vyuo vimefunguliwa na shule zote zimefunguliwa hatujasikia mpaka sasa hivi case yoyote kwa wanafunzi wetu,kwahiyo sidhani kama kuna mzazi yuko tayari kuachia mwanae aende shule wakati watoto wanakufa,hakuna mzazi wa hivyo wala hajazaliwa,mtoto anauma ndugu zangu sikieni tu ,cha muhimu ni kuendelea kumuomba Mungu wetu aendelee kutupigania...