Titicomb
JF-Expert Member
- Jan 27, 2012
- 15,527
- 27,572
Kule South Africa ilikouwa watu wengi sana kwa Africa imeuwa watu weupe tu?Mwanzo waliamini Corona haiui watu weusi, na huu ndio ukweli.
Kuna mambo lazima tuyachunguze sana kwa jicho la mwewe au tai.
Kila siku vyombo vya habari vya magharibi vilitabiri South Africa (SA) na Nigeria ndiyo mataifa ambayo yataweza kupambana na COVI-19 sababu wao wana maabara nzuri za kisasa za kupima COVID-19 pamoja na uchumi mkubwa.
Wakaenda mbali zaidi wakasema SA wanauchumi mkubwa, huduma bora za afya na vifaa vya kutosha kuhudumia wagonjwa wengi kwa pamoja.
Kilichotokea Mungu anajua, SA ndiyo inaongoza kwa kuathiriwa na COVID-19 hapa Africa. Vifo vingi sana vinafikia 5368, maambukizi jumla 381,798 hiyo takwimu kufikia leo 22/07/2020.
sasa akituletea covid 19 itakuwaje! Sie tumshukuru tu Mungu kwake hakuna lisilo wezekana