Mtaani kwako imetafuna wangapi mpaka leo?Kitendo tu cha kuficha takwimu kikupe tu jibu kuwa corona ipo sana hapa na inatafuna watu.Corona haikuwa mkondo wa upepo kwamba inapita tu na ikishapita haigeuki nyuma.
Acha tuendelee kujitoa ufahamu Ila siku ikiguza penyewe tutaanza kuipa heshima yake
Na wewe unaamini hilo???Mwanzo waliamini Corona haiui watu weusi, na huu ndio ukweli.
Was or is ??Corona COVID-19 was myth
Sio lazima mtaani kwangu iwe imetafuna watu ndo corona isemwe inatafuna watu Hata huko marekani na Brazil misiba haipo Kila nyumba au Kila mtaa. Kuna vitaa mingine misiba ya corona haijawahi kutokeaMtaani kwako imetafuna wangapi mpaka leo?
Siku ikibisha hodi kwenye familia yenu ndo utaielewaHii kitu nahisi imekaa kisiasa sana, vita dhidi ya uchumi.
Siku ikibisha hodi kwenye familia yenu ndo utaielewaHii kitu nahisi imekaa kisiasa sana, vita dhidi ya uchumi.
Rais Bolsonaro alikuwa mbishi pia, corona19 ikapiga hodi...mara mbili. Siku hizi anauheshimu ugonjwaSiku ikibisha hodi kwenye familia yenu ndo utaielewa

MWENYEZI Mungu, Our Beloved, The kings of kings, Alpha na Omega.

“2 NYA. 7:14 SUV

Hakuna sababu ya kuandikia mate, mda utaongeza vizuri zaidi kama ilivyopangwa kule MadagascarManufaa ya kisiasa unadhani Magufuli hataki kuishi ale mema ya nchi awamu ijayo?Majaliwa hataki,kundi la mawaziri wa CCM wao hawataki baada ya miaka 5 waje tena kupokea kiinua mgongo 240Mill,ulimuona pale Mkapa,Mwinyi na uzee wake yupo above 90 tena na mkewe,Dk Shein,White mzee wa Msoga wote wanakula mema ya nchi unafikiri kungekuwa na hatari ya afya zao jinsi tunavyoaminishwa wangekubali kujifungia mule ukumbini washangilie kiasi kile na wajumbe zaidi ya 1500 wasiokuwa na barakoa hata mmoja hali ya kuwa tunaaminishwa Corona inaambukizwa hasa kwenye mrundikano wa watu.
Sense ya kawaida tu inakataa fikiri vizuri!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Amina,Mungu ni msaada pekee tulio nao.kabla ya ujio wa ukristo na uislam wazee wetu walikua na imani zao, walipokua wakipatwa majanga makubwa daima walifanya maombi kwa imani zao majanga yalitoweka na maisha yakaendelea.
hata sisi kupitia imani zetu mungu tunaemwamini ametuondoshea corona coz yeye anauwezo na nguvu zaidi kuliko akili za madaktari, ambao hutatua matatizo yaliyo katika uwezo wa akili bt mungu hutatua hata yaliyo nje ya uwezo wa akili zetu.
nb: wenzetu waliwatumainia zaidi madaktari ambao ufaham wao unaukomo bt sisi tulimtumainia zaidi mungu ambae ufaham wake hauna ukomo ndo maana vita tumeishinda kirahisi sana.
hebu jiulize hatukufunga nyumba za ibada hata pale corona iliposhika kasi unadhani kama mungu hajasaidia hali ya maambukizi ingekuwaje? tumtumainieni sana mungu ili tupate wepesi katika mambo magum.
Hiyo ndo habari mkuu! Mungu ametunusuruOngeza sauti“2 NYA. 7:14 SUV
ikiwa watu wangu, walioitwa kwa jina langu, watajinyenyekesha, na kuomba, na kunitafuta uso, na kuziacha njia zao mbaya; basi, nitasikia toka mbinguni, na kuwasamehe dhambi yao, na kuiponya nchi yao.![]()
Hilo watu wa rohoni na mwilini kama wewe ndio wanaweza kuliona, watu wa Mwilini tu wanataabika sana kwa hilo.Ni Taifa lililobarikiwa katika Nyanja nyingi na Baba Muumba Mwenyezi Mungu lakini hata Rais JPM wa Tanzania nae ana ' Baraka ' kubwa za Mola.
Kitendo tu cha kuficha takwimu kikupe tu jibu kuwa corona ipo sana hapa na inatafuna watu.Corona haikuwa mkondo wa upepo kwamba inapita tu na ikishapita haigeuki nyuma.
Acha tuendelee kujitoa ufahamu Ila siku ikiguza penyewe tutaanza kuipa heshima yake
Unataka akwambie ndio ili ukamfufue?.Acheni mizaha yakijinga na maisha ya watu.Kuna ndugu yako kafa
ungemuuliza daily viongozi wa serikali wanafanya mikutano na watu hawana barakoa wala nini, je nani kashaambukizwa kati yao? au corona inabagua viongozi?Unamjua mtu mwenye corona wa karibu yako
Wapiiiii?Kwani kukitokea janga au ajali ni lazima watu wote wafe?.Wewe kama umenusurika haimaanishi hakuna aliyekufa.sio kila jambo linalompata mwingine nawewe likupate.Ugonjwa upo na wako wanaougua nakupona na wengine kufariki.Na kulingana na mazingira ya sasa yalivyo huwezi kujua au kupata taarifa ya kila kitu. na vile vile huwezi kusema kila kitu.Serikali imeshasema maisha yarudi kawaida sasa hapo ni akili zako.