Nini hasa kimeondoa Corona Tanzania?

Nini hasa kimeondoa Corona Tanzania?

Kuna mtaalamu WHO alisema Afrika kinachotusaidia ni
1. Vyakula tunavyokula, vinatoka shamba moja kwa moja havisindikwi.

2. Maisha tunayoishi, tunafanya mazoezi bila kujua. Kutembea kwa miguu ni usafiri wa kawaida kwa wengi. Wengi hatuna excess fat.

3. Hewa safi, sehemu nyingi hazina industrial air pollution.

4. Hali ya joto.

Haya ndiyo yamesaidia tusiwe na maambukizi Kama ya Ulaya na Brazil.
Mh Dr mm naona namba moja hapo ungeanza na Mungu ameamua kutukinga kwa mkono wake halafu hayo mengne yanafuata
 
Serikali huenda kuna kitu wanakijua kuhusu huo ugonjwa so wakaamua kucheza na saikolojia za watu, huku wakihimiza tahadhari ikiwa kama njia ya kufanya chochote kitu mixer maombi na nyungu.

Kusema kinga duh! Napata hofu kidogo maana hao wazungu hula vyema Sana mazoezi n.k kushinda huku ambapo wengi wao kula nini huchaguliwa na maisha na si kuchagua!.. mi nahisi kuna namna nyengine zaidi ya hizi tunazoziona kuhusu huu ugonjwa.
Nenda kasome kwanza..kati ya jamii ambayo inakula vibayaa n wazungu..wale vyakula vyao vingi n processed..vya makopo..natural food kwao n gharama sana..ukipata nafasi ya kwenda huko jarbu kuchunguza supermarkets zao.
Natural foods are very expensive..
Hii brainwashed tulionao waafrica kuhusu wazungu inatumaliza sana..kila kitu chao twakiona kizur..
Ni ujinga uliopitiliza..
 
Siku ikibisha hodi kwenye familia yenu ndo utaielewa
Mkuu mie nimefiwa na mtu wangu wa karibu mwaka jana kwa malaria, ila hilo halijanifanya nianze kulalia chandarua au kupuliza dawa ya mbu chumbani kwangu. Hayo sikuwa nikiyafanya na hata baada ya kukutana na kifo cha malaria kwenye familia bado naendelea kutokuyafanya.

Na katika familia pia kuna kifo cha ukimwi ila bado nina mtazamo tofauti na wengi kuhusu ukimwi sina hofu na huo ugonjwa.

Kwahiyo issue ni uelewa sio kushuhudia tu sijui kwenye familia yako,Magufuli alisema mwanae aliumwa corona ila bado havai hata barakoa.
 
Covid 19 bado ipo Tz na inakula watu sana bado, kinachoendelea ni hofu ya kutangaza kwani wakubwa hawataki!
Wewe umejuaje na una lipi la kuonesha kuwa corona inakula sana watu tofauti na wanaoona kuwa corona imepungua au imekwisha kabisa?

Hao wakubwa ndio hao waliyokuwa kwenye mkutano uliyokusanya watu zaidi ya elfu moja tena bila tahadhari zozote? hao ndio wanakataza kutangaza uhatari wa corona Tz?
 
Magu kiboko. Kawaamuru watz waondoe hofu, na wameiondoa. Kuna vigogo walikuwa wanavaa barakoa, nakumbuka kuna hafla moja Dom, mama Kikwete alitinga na barakoa Magu akiwepo. Magu alipoanza kuwasengenya wavaa barakoa live, waliacha gafla.

Kutokuvaa barakoa hadharani kwa mama Samia, waziri mkuu, akina Zungu, na vigogo wengine kumewaaminisha watu kuwa ugonjwa umeisha. japo Magu bado hashikai mikono na watu na anajaribu kukaa kwa social distance kwenye hadhara.
 
Magu kiboko. Kawaamuru watz waondoe hofu, na wameiondoa. Kuna vigogo walikuwa wanavaa barakoa, nakumbuka kuna hafla moja Dom, mama Kikwete alitinga na barakoa Magu akiwepo. Magu alipoanza kuwasengenya wavaa barakoa live, waliacha gafla.

Kutokuvaa barakoa hadharani kwa mama Samia, waziri mkuu, akina Zungu, na vigogo wengine kumewaaminisha watu kuwa ugonjwa umeisha. japo Magu bado hashikai mikono na watu na anajaribu kukaa kwa social distance kwenye hadhara.
Mkuu Magu anashikana mikono na watu.
 
Back
Top Bottom