brave Mwafrika
JF-Expert Member
- May 2, 2019
- 213
- 109
Msaada jamani 🙏🙏
Wizi wa faida.... Ibia tajiriMsaada jamani
Behind every great fortune there is crime!Msaada jamani
Upo deep,Kuishi na hatia
Akili daima inaamini hiki inachomiliki sio chake na sio halali yake kamwe haitoridhika mwisho unajikuta ukiishi na hofu na kuendelea Kuiba ili kumiliki vingi Kama ulinzi wa future yako na ndio muda Huo huo unajiandalia anguko lako bila kujua.
Kuna wengine tupo hapa bado ni waaminifu. Kama kuna chance ya kazi tupee mkuu.Wizi hauna faida yoyote, wala usiwazie
Uongo na wizi vinaenda pamoja always
Hapa huwa nasoma sana watu na mawazo yao ila kama kusaidiwa wewe umejiweka kwenye kundi baya sana ingawa umeuliza ila ni swali baya na usitegemee kupata majibu eti wizi una faida
Atakaekushauri uzuri basi nae ni mwizi
Natafuta wa kuwasaidia kila wakati au tufanye nao kazi mimi kama sleep partner ila imekuwa ngumu sana kwa nyuzi za hivi
Usiwaze mambo mabaya
Mkuu Matola. Wamefanya nini Masaki?Nenda Masaki kaangalie majizi ya Ccm yamefanya nini utapata majibu.