sychellis
Senior Member
- Oct 16, 2018
- 135
- 114
Kwa sasa hali imebadilika taasisi na mashirika mengi ya umma yanaajiri yenyewe kupitia Portal zao bila kuhusisha utumishi au Ajira portal. Leo hiii watu wanaomba kazi TRA kupitia portal ya TRA. NSSF pia watu wanamba kupitia uko na taasisi nyengine za umma.
Je, kuruhusu Mashirika na Taasisi za Umma kuajiri zenyewe ni faida kwa wananchi na Taasisi husika au kuna hasara ndani yake?
Je, kuruhusu Mashirika na Taasisi za Umma kuajiri zenyewe ni faida kwa wananchi na Taasisi husika au kuna hasara ndani yake?