Ninauguliwa na baba watoto wangu

Ninauguliwa na baba watoto wangu

Status
Not open for further replies.
Sawa umeongea ukweli lakini maneno makavu sana,sie dunia ya tatu tunaishi kijamaa sana.ndo maana misiba na maharusi inajaza watu wengu wakiwa hawana mahusiano yoyote ya karibu na wenye shuhuli husika.

Mkuu

Unachosema ni sawa.

Ila mkuu hii trend inabadilika,sio sawa na zamani.

Inabadilika taratibu,step by step.

Harusi za zamani zilikua hazina kadi,sasa hivi ukumbini unaingia tu kwa mualiko wa kadi maalum,zamani kijijini mtu hazuiwi mlangoni.Sasa hivi harusi au msiba ni exclusive event,hatujiendei tuu kama zamani za machifu.

Sasa hivi,shida zinakua exclusive issues kwa mtu na watu wake ndio wanajuana wao tabia zao na maisha ya staili gani wanaishi ndio maana wanaombana mikopo ya hapa na pale.Tatizo ni kuiingiza jamii nzima mizigo yako sababu tu unaitwa Mamdenyi ulianza JF 2011 na una follower wengi sana.Hii ni social leverage,kutumia umaarufu kua ombaomba.This is wrong!
 
Nipe hoja muhimu kabisa ya kwenda Sae?

Una ndugu zako chungu nzima huendi kwao,wana shida huwasaidii,ila leo Mamdenyi wa JF kawa mtu muhimu sanaaaaaaa!

Unajuaje kama hua siendi kuwaona. Moyo wangu wa kuwatembelea ndg na jamaa zangu wenye shida ndo huo huo ulionituma nikamtembelee mgonjwa wa mwana JF mwenzetu
 
Unajuaje kama hua siendi kuwaona. Moyo wangu wa kuwatembelea ndg na jamaa zangu wenye shida ndo huo huo ulionituma nikamtembelee mgonjwa wa mwana JF mwenzetu

Simple mathematics,ulichosema ni uongo!

Tukichukua takwimu za wana ukoo wako,ni impossible kuwatembelea WOTE!Thats true!

Unajikakamua tu hapa kusema umeshawatembelea WOTE.Thats a lie.

Just be honest!Say it and own it up!

Huyu Mamdenyi unaenda kwake kwa ushabiki maandazi humu JF tu kama sie wengine wote na sio kwamba umeguswaaaa sana(mtu anaguswa sana iwapo alishakua na nafasi maishani mwako kwa true human experience),na sio kwamba wewe ni important figure or friend in her life whatsoever!Unaenda kama mshabiki wake wa JF,na kufanya matembezi ya mshikamano tu.Nothing really sentimental at all!Humjui in person na hujawahi share nae life experiences as friends or anything,wewe unapenda maandishi na avatar yake labda!
 
Asanteni kwa wote mlioguswa na ujumbe wangu huu;
Mungu awabariki tu jamani;

Kuna aliyeuliza kama nilishaingia mahusiano mengine, jibu ni hapana;
nilikuwa na changamoto kubwa ya kusomesha sikuweza tena kuanza mahusiano.

Yupo pia alieuliza why nimekosa nauli, hapa siwezi kusema sana ila kweli
hela ingekuwepo wala nisingekuja huku;

Naomba niweke tu namba yangu kwa ajili
ya hao wapendwa waliouliza huko juu 0755 557094.

Asanteni sana!

pole mamy mwenyezi mungu akupiganie

mwenyezi mungu asimame juu ya hili ,

Ngoja tujipige pige hapa
 
Simple mathematics,ulichosema ni uongo!

Tukichukua takwimu za wana ukoo wako,ni impossible kuwatembelea WOTE!Thats true!

Unajikakamua tu hapa kusema umeshawatembelea WOTE.Thats a lie.

Just be honest!Say it and own it up!

Huyu Mamdenyi unaenda kwake kwa ushabiki maandazi tu na sio kwamba umeguswaaaa sana(mtu anaguswa sana iwapo alishakua na nafasi maishani mwako kwa true human experience),na sio kwamba wewe ni important figure or friend in her life whatsoever!Unaenda kama mshabiki wake wa JF,na kufanya matembezi ya mshikamano tu.Nothing really sentimental at all!Humjui in person na hujawahi share nae life experiences as friends or anything,wewe unapenda maandishi na avatar yake labda!

Huu ni mwezi wa Toba kwa sisi Wakatoliki (Kwaresma) Tunahimizwa kua na matendo ya huruma, kusali, kutubu na kuwatembelea wenye shida mbalimbali. Taarifa hii imenikuta nikiwa safarini na nikichukulia kazini natoka saa 10:30 baada ya hapo badala ya kwenda pub kufanya anasa naenda kuwatembelea wahitaji isitoshe hapa mbeya mm ni mgeni sina ndg
 
Simple mathematics,ulichosema ni uongo!

Tukichukua takwimu za wana ukoo wako,ni impossible kuwatembelea WOTE!Thats true!

Unajikakamua tu hapa kusema umeshawatembelea WOTE.Thats a lie.

Just be honest!Say it and own it up!

Huyu Mamdenyi unaenda kwake kwa ushabiki maandazi humu JF tu kama sie wengine wote na sio kwamba umeguswaaaa sana(mtu anaguswa sana iwapo alishakua na nafasi maishani mwako kwa true human experience),na sio kwamba wewe ni important figure or friend in her life whatsoever!Unaenda kama mshabiki wake wa JF,na kufanya matembezi ya mshikamano tu.Nothing really sentimental at all!Humjui in person na hujawahi share nae life experiences as friends or anything,wewe unapenda maandishi na avatar yake labda!

Uwe unasoma between the line. Ni wapi nimesema ndugu Wote? nimekueleza moyo wa kuwatembelea ndg na jamaa zangu
 
Huu ni mwezi wa Toba kwa sisi Wakatoliki (Kwaresma) Tunahimizwa kua na matendo ya huruma, kusali, kutubu na kuwatembelea wenye shida mbalimbali. Taarifa hii imenikuta nikiwa safarini na nikichukulia kazini natoka saa 10:30 baada ya hapo badala ya kwenda pub kufanya anasa naenda kuwatembelea wahitaji isitoshe hapa mbeya mm ni mgeni sina ndg


Hahahahaaaa

Ukiona mtu anajitangazia "utakatifu" namna hii hadharani basi huyu mtu anaweza kua hatari sana.Anaweza amka asubuhi bila aibu akawaambia wananchi eti kaongea na Yesu usiku,kamtuma kitu!Hahahaaaaa

Cha ajabu kabisa ni kututaarifu kua nyie hua mna "msimu maalumu" sana wa kutenda mema,badala ya kutenda yakupasayo siku 365.45 nyie mmetenga msimu maalumu kabisa eti wa kutenda mema!Ina maana opposite of that is equally true!

Ndio maana nakwambia unaenda kwa Mamdenyi sababu huna cha kufanya,na pia mshabiki wake maandazi kama tulivyo sisi wengine humu JF!Unaenda kwa Mamdenyi sababu ni "msimu" maalumu wa kutenda mema,ingekua msimu mwingine mkavu usingeenda!ALWAYS KUNA SABABU!Sisi wanadamu buana,hatukosi sanaa!
 
Kama mnafahamiana sana,mfatane huko DMs mpeane misaada.

Mmekuja hapa hadharani kwa minajili ya kuomba kwa jamii nzima!

Hii ni tabia mbaya sana!

Hizi makala za kuelezea mambo ya matatizo binafsi hadharaniiii ili kupata misaada is so so so awkward and irresponsible!
Sitakujibu sababu wewe ni mgeni JF na inabidi u log out sababu huijui JF.
 
Sitakujibu sababu wewe ni mgeni JF na inabidi u log out sababu huijui JF.


Niah unafeli sana!

JF nipo tangu 2009.Nilikua natumia ID tofauti mpaka Dec 2017 nikaamua kuachana nayo!

Wewe kua na audacity ya kusema siijui JF ni unfounded claims!

Shuruti ya kuniambia ni-log out inatoka wapi?Jibu ulichoulizwa,huwezi sema siwezi!

Shida yenu ni kutuaminisha kua matatizo yetu tuanze kuweka kwenye threads ili kuomba msaada,thats ridiculous approach!

Wote tuna matatizo sawa,hii kuandika makala ni roho ngumu kama ya tapeli!

Unaojuana nao eti sababu umekaa sana JF wafate DMs msaidiane,no problem!

Kwanza who knows who in a personal level ya kuanza kupeana fedha za kutibiana mabwana?Walao mtoto ningeona hoja ya maana!
 
Sitakujibu sababu wewe ni mgeni JF na inabidi u log out sababu huijui JF.
Amesema yupo tangu miaka mingi lkn naona hana roho ya Ktz, huenda ni mzungu kwani haya ya kusaidiana sio utamaduni wao
 
Wyatt Mathewson, unaonaje upotezee uwaachie wajinga waendelee na ujinga wao kuchangia ndg?
Je ukinyamaza utapungukiwa chochote?


Mkuu Quigley

Ni wazo umetoa,naweza kulifuata au kutolifuata.Nimeamua humbly kutolifuata.Sidhani kama nimevunja sheria,wala sijamtukana mtu.

Ni kitu cha kawaida kwenye mjadala wowote kua na pande mbili.Hatuwezi kua pande moja wote mkuu!

Ni very good and healthy!
 
Mzee acha ku-judge bila kufikiri!

Hii ni ID yangu ya pili!

Nipo JF tangu 2009!

Nothing you can lecture me on anything,on JF atleast!

Mtu unakuja JF kuomba msaada to some random people kwa kuandika makala?

Tujifunze ku-deal na emergency problems,wote yanatukuta kila siku,kila mtu akiandika humu server za JF zitatosha?

Heri hata uwe honest useme directly kabisa "naomba msaada yamenishinda",nilichoona ni shindano la kuandika insha yenye kuhuzunisha na majonzi zaidi watu waingie huruma,nothing more!

Hajalazimisha mtu amchangie, ni kwa atakayeguswa.....so pita kwa amani tu
 
Hahahahaaaa

Ukiona mtu anajitangazia "utakatifu" namna hii hadharani basi huyu mtu anaweza kua hatari sana.Anaweza amka asubuhi bila aibu akawaambia wananchi eti kaongea na Yesu usiku,kamtuma kitu!Hahahaaaaa

Cha ajabu kabisa ni kututaarifu kua nyie hua mna "msimu maalumu" sana wa kutenda mema,badala ya kutenda yakupasayo siku 365.45 nyie mmetenga msimu maalumu kabisa eti wa kutenda mema!Ina maana opposite of that is equally true!

Ndio maana nakwambia unaenda kwa Mamdenyi sababu huna cha kufanya,na pia mshabiki wake maandazi kama tulivyo sisi wengine humu JF!Unaenda kwa Mamdenyi sababu ni "msimu" maalumu wa kutenda mema,ingekua msimu mwingine mkavu usingeenda!ALWAYS KUNA SABABU!Sisi wanadamu buana,hatukosi sanaa!

Mbona povu sana mzee. ngoma yako nn
 
Hajalazimisha mtu amchangie, ni kwa atakayeguswa.....so pita kwa amani tu


Ram

"Hajalazimisha" mtu,ni kweli!Ila uelewe "kulazimisha" ni violence level II.

Hapa anafanya "persuasion" au "ushawishi" ambao kitaalamu ni form of violence level I.

Kujaribu tu kushawishi mtu kwa aina yoyote ni mojawapo wa aina ya "vurugu"!

Leteni matatizo yanatugusa sote,sio matatizo binafsi ambayo hua yanatolewa kwenye Magroup yenu ya WhatsApp hapa JF ambapo ni hadhara ya Watanzania milioni 55!

Mnatuletea aina violence humu na hizo persuasions zenu!
 
Mbona povu sana mzee. ngoma yako nn


Wala sina povu mkuu!

Ngoma zipo nyingi sana TZ hii,mpaka nikutane na Mamdenyi ni pure coincedence kabisa!Ni unlikely that to happen!

Nipo hapa purely kimjadala wala sina kitu personal towards anyone.Kwanza we do not know each other or anything!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom