Ninauguliwa na baba watoto wangu

Ninauguliwa na baba watoto wangu

Status
Not open for further replies.
Sasa kama amewaomba hao uliowataja na hakupata ulitaka akajiuze ili apate hiyo hela? haya maisha tu ipo siku utaelewa kwanini watu huwa wanaomba msaada!



Amekwambia amewaomba kwanza wakamnyima au unabuni tu?

Acha kunipa mambo ya laana ili kunitisha,ooh "dunia tunapita",sijui nini....thats all bullshit mzee!

Hoja zake kwangu hazija make sense,unanilazimisha sasa?

Hivi unajua ifike mahali watu waachwe wafate wakitakacho...wewe hujawahi nyima mtu msaada?Hebu acha kudanganya watu wazima wenzio!

Hoja za kuweka matatizo yako binafsi hadharani ili upewe pesa ni selfish act ya hali ya juu,maana sisi hatuna shida kama zako?Why zako ziwe ndio zenye thamani zaidi ya za kwetu?
 
Sasa tukifika SAE tunaanzaje kumuuliza maana hujatoa location halisi nyumba ilipo. Mie nimekuja kikazi mbeya nimefikia hapa Golden City Hotel SAE



Nipe hoja muhimu kabisa ya kwenda Sae?

Una ndugu zako chungu nzima huendi kwao,wana shida huwasaidii,ila leo Mamdenyi wa JF kawa mtu muhimu sanaaaaaaa!
 
Sae hapo kwa mr 2 sugu, ulizia kwa siame;
ni jirani sana;
asante.



Watu wa JF waje kwako kufanya nini hasa!?

Mbona watu mnapenda sana attention za wananchi?

Hii ni social enterprising of some sort!

In principle,unapenda sana kushirikisha watu mambo yako,you can not live without people dependence!

Unapenda ku-depend kwa watu on your issues!Thats the bottomline!
 
Watu wa JF waje kwako kufanya nini hasa!?

Mbona watu mnapenda sana attention za wananchi?

Hii ni social enterprising of some sort!

In principle,unapenda sana kushirikisha watu mambo yako,you can not live without people dependence!

Unapenda ku-depend kwa watu on your issues!Thats the bottomline!
Sawa umeongea ukweli lakini maneno makavu sana,sie dunia ya tatu tunaishi kijamaa sana.ndo maana misiba na maharusi inajaza watu wengu wakiwa hawana mahusiano yoyote ya karibu na wenye shuhuli husika.
 
Unajua mtu akiamua kufunguka kuhusu hali yake AMEKUHESHIMU SANA umefanya vyema sana mrembo wangu, nawe usiache kunishirikisha jmn
Sawa sawa. Naanza kukushirikisha kwa hili QUIGLEY naomba unipige tafu 1,000,000/= nina shida kidogo. yaani namaanisha unisaidie kama ka 1m tu. nataka wikiendi hii kwenda saluni, kufurahi na marafiki zangu, halafu nipeleke rejesho kwenye VICOBA, pia nilale hoteli ya kifahari kwa kesho na Jumapili.😉😉😉
 
Sawa sawa. Naanza kukushirikisha kwa hili QUIGLEY naomba unipige tafu 1,000,000/= nina shida kidogo. yaani namaanisha unisaidie kama ka 1m tu. nataka wikiendi hii kwenda saluni, kufurahi na marafiki zangu, halafu nipeleke rejesho kwenye VICOBA, pia nilale hoteli ya kifahari kwa kesho na Jumapili.😉😉😉
Hizo siyo shida
 
Watu wa JF waje kwako kufanya nini hasa!?

Mbona watu mnapenda sana attention za wananchi?

Hii ni social enterprising of some sort!

In principle,unapenda sana kushirikisha watu mambo yako,you can not live without people dependence!

Unapenda ku-depend kwa watu on your issues!Thats the bottomline!
Wewe kama hutaki acha
Mimi angekuwa sio hela ya ex ningempa
 
I am a christian, Na ninajitahidi sana kubadilika. Kwa suala hilo itategemea na vitu vingi. Unitelekeze ule ujana peke yako, uzeeni uugue hlf utegemee nikuuguze. Mungu anisaidie yasinitokee!
Alafu kuuguza kwnyw huna uwezo, unaomba usaidiwe! Hv ukifika unasemaje? Nimekuja kuuguza mzazi mwenzangu? Na mkewe anakukaribisha kabisa? Haya ile umefika leo, kesho mgonjwa kafa (God forbid) si utashikwa uchawi? Haki wanawake wakati mwingine matatizo tunajitafutia wenyewe tu bila sababu za msingi..
 
Alafu kuuguza kwnyw huna uwezo, unaomba usaidiwe! Hv ukifika unasemaje? Nimekuja kuuguza mzazi mwenzangu? Na mkewe anakukaribisha kabisa? Haya ile umefika leo, kesho mgonjwa kafa (God forbid) si utashikwa uchawi? Haki wanawake wakati mwingine matatizo tunajitafutia wenyewe tu bila sababu za msingi..
Wacha akachunwe ngozi huko.hayo mambo hayamuhusu.hv anaenda kumuuguzaje kwanza? Nani anamtaka huko by the way?
 
Alafu kuuguza kwnyw huna uwezo, unaomba usaidiwe! Hv ukifika unasemaje? Nimekuja kuuguza mzazi mwenzangu? Na mkewe anakukaribisha kabisa? Haya ile umefika leo, kesho mgonjwa kafa (God forbid) si utashikwa uchawi? Haki wanawake wakati mwingine matatizo tunajitafutia wenyewe tu bila sababu za msingi..
Nafikiri hujasoma kifungu kwa kifungu, amepigiwa simu na shemeji yake, kwa maana nyingine ameitwa
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom