Ninauguliwa na baba watoto wangu

Ninauguliwa na baba watoto wangu

Status
Not open for further replies.
Hapana mimi niko na hela kwenye airtel money sina sehemu nyingine kwasasa maana naamini kutunza humo kuliko nmb nnayochukulia mshahara.
Mara nyingi nazitoa zote bank na kuziweka huko nenda basi kwa wakala hata sasa hivi.
Au weka namba ya uhakika airtel.
Mkuu unaweza kutuma kwa kuchagua kutuma mitandao mingine sahivi inawezekana siyo lazima yeye awe na airtel.
 
Ndio maana siku hizi ninakupenda
😀😛😀😛 nimemhurumia sana maana ukiona mtu ameamua kueleza shida yake ya kifamilia basi ujue kweli katingwa. Hela kitu gani mkuu QUIGLEY hadi ifanye watu tushindwe hata kupeana tafu kwa vitu vya kijamii kama hivi!!! nime feel hali aliyonayo mtani wangu. Tayari nimemrekebishia kidogo nilichojaliwa.
 
Asante sana, Mungu akubariki.
😀😛😀😛 nimemhurumia sana maana ukiona mtu ameamua kueleza shida yake ya kifamilia basi ujue kweli katingwa. Hela kitu gani mkuu QUIGLEY hadi ifanye watu tushindwe hata kupeana tafu kwa vitu vya kijamii kama hivi!!! nime feel hali aliyonayo mtani wangu. Tayari nimemrekebishia kidogo nilichojaliwa.
 
😀😛😀😛 nimemhurumia sana maana ukiona mtu ameamua kueleza shida yake ya kifamilia basi ujue kweli katingwa. Hela kitu gani mkuu QUIGLEY hadi ifanye watu tushindwe hata kupeana tafu kwa vitu vya kijamii kama hivi!!! nime feel hali aliyonayo mtani wangu. Tayari nimemrekebishia kidogo nilichojaliwa.
Unajua mtu akiamua kufunguka kuhusu hali yake AMEKUHESHIMU SANA umefanya vyema sana mrembo wangu, nawe usiache kunishirikisha jmn
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom