luckyline
JF-Expert Member
- Aug 29, 2014
- 15,021
- 21,263
Wewe pua tena imekuwaje? Kama ingekuwa inawezekana ningekupungizia ukawa na kapua karefu uepukane na hayo nadhara ya kuchonga pua.Honestly ningekuwa na 'ela' ningeenda kuifanyia mafekeche hii pua
Mungu ni mwema ukibahatika kuingia kwenye ndoa angalia mkaka mwenye pua ndefu watoto watatoka vizuri.kumbuka 80% watoto wanafananaga na baba. Kwetu wote tunafanana na baba na babu mzaa baba.